Lete aya ya hayo mambo unayoandika.
Imeandikwa wapi katika vitabu vya Mungu ?
Au ndo umetoa kwa huyo unayemwita mungu wako ?
Unajua kutofautisha maana ya Mungu na mungu ?
Maana sehemu zote umemwandika mungu unayemfahamu wewe.
Tutajie hapa huyo mungu wako unayekutana naye wakati wa meditation ni nani ?
Anaitwa nani ?
Andiko lako linamtaja mungu badala ya Mungu sisi wenye udadisi tunapata wasiwasi kuwa, huandiki kwa bahati mbaya na unataka kuwapeleka watu kusikotakiwa.