Kati ya mabasi said ya 40 kutoka mwanza au yanayopitia Mwanza umeona la Ally's tu? Halafu basi zenu zina mwendo mkali na rafu nyingi sana barabarani. Waonyeni madereva wenu waache hizo tabia.Panda bus la Ally's,nauli ni sh 50000,kutoka mwanza mpaka dar.
Sawa mkuu nimekuelewa,nitawafikishia ujumbe wako.Kati ya mabasi said ya 40 kutoka mwanza au yanayopitia Mwanza umeona la Ally's tu? Halafu basi zenu zina mwendo mkali na rafu nyingi sana barabarani. Waonyeni madereva wenu waache hizo tabia.
Mimi ni mteja wenu sugu, natarajia kuzikacha.
Kama unaona yanakimbia sana panda BajajKati ya mabasi said ya 40 kutoka mwanza au yanayopitia Mwanza umeona la Ally's tu? Halafu basi zenu zina mwendo mkali na rafu nyingi sana barabarani. Waonyeni madereva wenu waache hizo tabia.
Mimi ni mteja wenu sugu, natarajia kuzikacha.
Mwenzio hakusema kwa ubaya.Kama unaona yanakimbia sana panda Bajaj
Jibu la kilaza mkata tiketi pale Mwanza. Asante.Kama unaona yanakimbia sana panda Bajaj
PoaSawa mkuu nimekuelewa,nitawafikishia ujumbe wako.
Akili yake haina akili. Msamehe tu.Mwenzio hakusema kwa ubaya.
Mbona unamjibu kihuni?
Likitokea la kutokea kwa sababu ya mwendokasi yoyote hata wewe yanaweza yakakukuta.
Wa Milembe utawajua tu!Jibu la kilaza mkata tiketi pale Mwanza. Asante.
Rudi MilembeAkili yake haina akili. Msamehe tu.
Kwani kampuni ipo 1. Achague usafiri wa kampuni nyjngine.Mwenzio hakusema kwa ubaya.
Mbona unamjibu kihuni?
Likitokea la kutokea kwa sababu ya mwendokasi yoyote hata wewe yanaweza yakakukuta.
Mawazo ya mkata tiketi miaka yote stendi.Mkuu bora upande punda ama mkokoteni pesa nyingine weka akiba uje ufanye investment
Nakushauri uwahi MilembeMawazo ya mkata tiketi miaka yote stendi.
Wewe upo mbinguni sasa hapa duniani unatafuta nini?Naomba kujua usafiri wa basi kutoka Mwanza hadi Dsmni Tshs ngapi wadau?