mpaka sasa mchana huu wa saa 7.30 mvua bado inanyesha mwanza,ni neema kutoka kwa mungu,mpk sasa hakuna taarifa zozote za maafa,kwa dalili leo mchana kutwa mvua itaendlea kunyesha rock city.
Madhara ya Mafuriko cdhan kaa yatakuwepo,Ila magonjwa ya Tumbo,Amoeba,Typhod nk toeni tahadhari kwa watoto kutochezea madibwi na MWAUWASA Waongeze Dose yakutibu maji c Mwajua wakazi wa Milimani ndo mda wa kuflash a.k.a Kutapisha Vyoo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.