Wapendwa JF kwa yeyote ambae ameweza kupata gazeti la mwanachi au daily news la leo atusaidie kama hawa jamaa wametoa majina mana walisema leo plz msaada tafadhalin wapendwa
Kama kuna yeyete anae ngojea kazi toka Mwanza community bank asahau kabisa maana, mie nilifika hadi office za mwanza community bank na wakanithibitishia kuwa wao hawajatoa tangazo lolote la kazi.
Hawa watu wa MCB inaonekana bado wako nyuma sana, ata website 2 hawana! Wangesha yakanusha hayo madai ya ajira wazi na hamna mtu angekua ana wafatilia hao matapeli!