Kuna mradi unaitwa Tampere garden, Nia ni kujenga sehemu za chakula, kuchezea watoto, kupumzikia nk.
Eneo kwa ajili ya Kupumzikia, michezo ya watoto na watu wazima, michezo ya kwenye maji (Water Sports), Hoteli na migahawa nk. Eneo la Tampere
Hii iko mwanzacc.go.tz
Mkuu huko skyscrapercity sisi ndio wakongwe natumia jina la rockcity, siku hizi hatuna taarifa nyingi ndio maana tuko kimya, tuna mpaka group la WhatsApp.