Mwanza City: The Photo Gallery



kisesa isangijo satellite town, kwa wageni kisesa ni eneo ambalo liko 20km from mwanza city centre barabara ya kuelekea musoma, watumishi housing wanajenga nyumba hapo na hizi ni nyumba 60 kwenye phase I, phase II itaanza hivi karibuni na nyumba zake ni za ghorofa.
 
Nyabhingi, hebu nisaidie kuelewa kitu, ujanja bora huwa una vigezo gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kiazi kweli, mleta mada kasema msilinganishe mji huu na miji mingine we ushaanza ligi ya mwanza na wavuta bangi wa Arusha.

Naliamsha dude
Pombe kasema mwanza ndio ataifanya kua Geneva of Afrika.
Kunbuka msemo huu awali ulikua ukiilenga "Arusha" na sio Mwanza ya wapiga wachawi kwenye macho mekundu.(a.k.a Manyaunyau)

Vipi dude bado limeamka?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hujafika Arusha..kule wanakaribia kuunganisha Ar-Moshi. Mwanza kamji kanaanzia pale Buhongwa na kuelekea Musoma kanaishia pale nane nane

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu...ulikuja mwnza nyamongoro kuitafta kisesa,buswelu,bugogwa mpk usagara watu wanaitafta magu na misungwi sasa, tatzo watu weng wanafikiri mwanza inaishia pale mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…