Ilibidi nifatilie asee nikapata connection ya ghorofa linalojengwa downtown pale lumumba na hilo linalotaka kujengwa hapo nera, nilipodadisi nikaambiwa litapanda floor 12+ ila hawa matajiri huwa wanazingua wanaweza kuishia ata 10 floor tu ila patakuwa mzuka sana.