Jaman ifike aibu mwanza kukubali kuingia kujibu battle na Dodoma ,mara Mbeya ... haiwezekani watuchukulie poa hivyo ,uwezo tunao na nguvu tunazo
Nyegezi stendi project on going
Mpaka sasa kuna sintofahamu, ina maana Chanzo, Nipashe, Jamii forum ni waongo?
Mimi naona uwasilishwaji haukuwa mzuri na hili seke seke la Ngorongoro likaongeza presssure kwa wakazi wa milimani, japo lengo la uwekezaji huu ni zuri sana.
Mpaka sasa kuna sintofahamu, ina maana Chanzo, Nipashe, Jamii forum ni waongo?
Mimi naona uwasilishwaji haukuwa mzuri na hili seke seke la Ngorongoro likaongeza presssure kwa wakazi wa milimani, japo lengo la uwekezaji huu ni zuri sana.