Mwanza and Arusha cities projects

Mwanza and Arusha cities projects

The great jay

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
635
Reaction score
669
Wadau lengo la huu uzi

1. Kujua miradi ya miundombinu ya hii miji mikubwa baada ya dar es salaam
2. Kujua ukuaji wa sekta viwanda,kilimo na uvuvi
3. Kupata picha ya muonekano wa hii miji kwa mwaka 2018-19
4. Life style,fashion na celebrities wanaotokea hii miji
5. Pamoja na hotels,sehemu za starehe na kurelax

Nb:- lengo sio kushindanisha ni kujua ukuaji wa hii miji na kuongeza hamasa ya watu kutembelea hii miji


This my second time to start a thread here please lets share


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hii nimeona kwenye mpango wa maendeleo wa 2019-2020 unahusu reli ya sgr ya dar-arusha-musoma
Utakaofanya kwa njia ya PPP anayejua ripoti kuhusu hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuanzie Hapa kwanza
IMG_0451.JPG
 
Extreme Project kwa Mwanza,,

Ujenzi wa Meli mpya na ukarabati mkubwa wa meli za zamani MV Victoria, MV Serengeti na MV Butiama,,

Ujenzi wa Stendi mpya na za kisasa Nyamhongoro na Nyegezi,,

Soko kuu la kisasa katikati ya jiji,,

Upanuzi wa uwanja, ujenzi wa jengo la abiria na jengo la mizigo, uwanja wa ndege wa Mwanza,,

Hotel inayotazamiwa kuwa kubwa na ya kisasa zaidi kanda ya ziwa ya NSSF eneo la Capri Point,,

Barabara za lami kuzunguka jiji na kuunganisha wilaya na vitongoji vyote jijini,,

Hospital mpya na ya kisasa ambayo ni tawi la Bugando Medical Center eneo la Bugando jirani na ilipo hospital hiyo,,

Hospital mpya na ya kisasa ya Agha Khan,,

Hospital ya Butimba,,

Daraja la Kigongo to Busisi ziwa Victoria (linatajwa kuwa daraja lefu zaidi Africa Mashariki)

Hizo ni baadhi ya project ambazo wana wako site wanapiga kazi usiku na mchana,, na juzi tu tumeshuhudia safari ya majaribio ya meli iliyorejeshwa upya ya MV Victoria kutoka Mwanza kwenda Bukoba,,

Wakati wengine wamelala Mwanza inasonga mbele,,

Peace and much love for my home town Rock City,,

Picha ataleta laizerg na Ngokongosha
 
Extreme Project kwa Mwanza,,

Ujenzi wa Meli mpya na ukarabati mkubwa wa meli za zamani MV Victoria, MV Serengeti na MV Butiama,,

Ujenzi wa Stendi mpya na za kisasa Nyamhongoro na Nyegezi,,

Soko kuu la kisasa katikati ya jiji,,

Upanuzi wa uwanja, ujenzi wa jengo la abiria na jengo la mizigo, uwanja wa ndege wa Mwanza,,

Hotel inayotazamiwa kuwa kubwa na ya kisasa zaidi kanda ya ziwa ya NSSF eneo la Capri Point,,

Barabara za lami kuzunguka jiji na kuunganisha wilaya na vitongoji vyote jijini,,

Hospital mpya na ya kisasa ambayo ni tawi la Bugando Medical Center eneo la Bugando jirani na ilipo hospital hiyo,,

Hospital mpya na ya kisasa ya Agha Khan,,

Hospital ya Butimba,,

Daraja la Kigongo to Busisi ziwa Victoria (linatajwa kuwa daraja lefu zaidi Africa Mashariki)

Hizo ni baadhi ya project ambazo wana wako site wanapiga kazi usiku na mchana,, na juzi tu tumeshuhudia safari ya majaribio ya meli iliyorejeshwa upya ya MV Victoria kutoka Mwanza kwenda Bukoba,,

Wakati wengine wamelala Mwanza inasonga mbele,,

Peace and much love for my home town Rock City,,

Picha ataleta laizerg na Ngokongosha
wako vizuri sana
uwe unatuletea na miendelezo ya hiyo miradi
 
Back
Top Bottom