Mafuta us kampuma
Member
- May 1, 2017
- 56
- 43
Ndugu wana jf kwa wachawi au mchawi yeyote anaesoma uzi huu, naomba anipe uhakika kwa hiki nilichokisikia Leo, ya kwamba " Nikiwasha taa usiku kucha, hakuna mwanga wala mchawi atakaeweza kuingia kwangu ispokua majini na majinamizi tu"