Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Watu kadhaa wamenusurika vifo kufuatia ajali iliyotokea maeneo ya Mwanga kwa kuyahusisha mabasi mawili ya kampuni ya Dar Express na Esther Luxury Coach kugongana.
Ajali hii namna ilivyotokea ni kwamba Esther Luxury na Dar Express walikuwa wamefuatana kwa karibu na walipofika eneo la daraja la kupita gari moja kulikuwa na gari tayari limeanza kuingia, dereva wa Esther Luxury Coach akasimama ndipo Dar Express ikaja kumvaa kwa nyuma.
Taarifa za awali kutoka eneo la ajali, hakuna vifo isipokuwa majeruhi tu.
Ajali hii namna ilivyotokea ni kwamba Esther Luxury na Dar Express walikuwa wamefuatana kwa karibu na walipofika eneo la daraja la kupita gari moja kulikuwa na gari tayari limeanza kuingia, dereva wa Esther Luxury Coach akasimama ndipo Dar Express ikaja kumvaa kwa nyuma.
Taarifa za awali kutoka eneo la ajali, hakuna vifo isipokuwa majeruhi tu.