Mwandosya na Maji!

Mutekanga

Member
Aug 26, 2007
34
3
Je Kampeni za Mwandosya ndo zimeanzia Bungeni? Leo wakati Wizara yake ikijadiliwa, ilionyesha wazi kwamba alikuwa amewapandikiza watu wa kumpigia debe! Hata hivyo Dar- hakuna maji wiki ya tatu sasa!
Maji maji! Mwandosya kafanya nini?
 
Mimi naona kapewa sehemu ya kujipumzisha tu "wizara ya maji" mmmm sasa si kila kitu itakuwa na wizara mfano:
Wizara ya nyuki, wizara ya misitu, wizara ya majengo (nyumba) and so and on???
Tunatakiwa tudai katiba ya nchi "wizara zinajulikana moja kwa moja kwenye katiba na tunahitaji wizara zisizozidi 11. basi....2010 akishinda kutakuwa na wizara ya kila kitu...
 
Yote haya ni masuala ya kampeni sijawahi kuona hata siku moja mbunge wa CCM akipinga Bajeti moja kwa moja zaidi ya kelele tu, Hakuna jipya mzee wangu hapa
 
Je Kampeni za Mwandosya ndo zimeanzia Bungeni? Leo wakati Wizara yake ikijadiliwa, ilionyesha wazi kwamba alikuwa amewapandikiza watu wa kumpigia debe! Hata hivyo Dar- hakuna maji wiki ya tatu sasa!
Maji maji! Mwandosya kafanya nini?

Rais akikuteua uwe waziri wa maji ni sawa na kukuchongea kwa wananchi. Serikali yenyewe priorities zake hata hazijulikani, waziri anaweza kuwa na vision nzuri sana lakini akaishia kuwa frustrated kwa maamuzi mabovu yanayoangalia siasa zaidi kuliko mahitaji halisi ya huduma kwa jamii.

Kwa hiyo Mwandosya yawezekana aliwekwa huko ili akapumzike na kupoteza umaarufu kabisa. Hivi siku hizi mnasikia tena kelele za Magufuli? Alipokuwa Ujenzi ni kila siku alikuwa kwenye magazeti na takwimu za barabara zote za Tanzania akiwa nazo in his finger tips. Akaenda Wizara ya Ardhi akaonekana bado anaonekana kwenye vyombo vya habari, baada ya hapo ni juzi tumemsikia kwenye sakata la wavuvi haramu na sijamsikia tena. Siku hizi ameamua kujiunga na wapiga debe wa kampeni za CCM, mara ya mwisho alionekana mitaa ya Busanda akimpigia debe mgombea wa CCM.

CCM imeishapoteza mwelekeo na wengi walioko huko wapo tu kwa kuwa hawana jinsi, lakini majority of them wako frustrated sana. Kwa nje unaweza kuhisi kwamba wana mtandao wameshika nchi, lakini si wote. Kwa hiyo kilichobaki ni kusindikizana tu.
 
Rais akikuteua uwe waziri wa maji ni sawa na kukuchongea kwa wananchi. Serikali yenyewe priorities zake hata hazijulikani, waziri anaweza kuwa na vision nzuri sana lakini akaishia kuwa frustrated kwa maamuzi mabovu yanayoangalia siasa zaidi kuliko mahitaji halisi ya huduma kwa jamii.

Kwa hiyo Mwandosya yawezekana aliwekwa huko ili akapumzike na kupoteza umaarufu kabisa. Hivi siku hizi mnasikia tena kelele za Magufuli? Alipokuwa Ujenzi ni kila siku alikuwa kwenye magazeti na takwimu za barabara zote za Tanzania akiwa nazo in his finger tips. Akaenda Wizara ya Ardhi akaonekana bado anaonekana kwenye vyombo vya habari, baada ya hapo ni juzi tumemsikia kwenye sakata la wavuvi haramu na sijamsikia tena. Siku hizi ameamua kujiunga na wapiga debe wa kampeni za CCM, mara ya mwisho alionekana mitaa ya Busanda akimpigia debe mgombea wa CCM.

CCM imeishapoteza mwelekeo na wengi walioko huko wapo tu kwa kuwa hawana jinsi, lakini majority of them wako frustrated sana. Kwa nje unaweza kuhisi kwamba wana mtandao wameshika nchi, lakini si wote. Kwa hiyo kilichobaki ni kusindikizana tu.



Unasema ? Haya maneno mazito sana wanakusoma lakini hapa ?
 
Hata hivyo Dar- hakuna maji wiki ya tatu sasa!
Maji maji! Mwandosya kafanya nini?
Si afadhali Dar ni wiki tatu tuu, Busanda tangu kabla ya uhuru, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna maendeleo ni dhiki, njaa na umasikini uliokithiri huku wamezungunkwa na utajiri wa madini, lakini chama cha kuchaguliwa ni CCM, itakuwa wiki tatu!?.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!.
 
Rais akikuteua uwe waziri wa maji ni sawa na kukuchongea kwa wananchi. Serikali yenyewe priorities zake hata hazijulikani, waziri anaweza kuwa na vision nzuri sana lakini akaishia kuwa frustrated kwa maamuzi mabovu yanayoangalia siasa zaidi kuliko mahitaji halisi ya huduma kwa jamii.

Kwa hiyo Mwandosya yawezekana aliwekwa huko ili akapumzike na kupoteza umaarufu kabisa. Hivi siku hizi mnasikia tena kelele za Magufuli? Alipokuwa Ujenzi ni kila siku alikuwa kwenye magazeti na takwimu za barabara zote za Tanzania akiwa nazo in his finger tips. Akaenda Wizara ya Ardhi akaonekana bado anaonekana kwenye vyombo vya habari, baada ya hapo ni juzi tumemsikia kwenye sakata la wavuvi haramu na sijamsikia tena. Siku hizi ameamua kujiunga na wapiga debe wa kampeni za CCM, mara ya mwisho alionekana mitaa ya Busanda akimpigia debe mgombea wa CCM.

CCM imeishapoteza mwelekeo na wengi walioko huko wapo tu kwa kuwa hawana jinsi, lakini majority of them wako frustrated sana. Kwa nje unaweza kuhisi kwamba wana mtandao wameshika nchi, lakini si wote. Kwa hiyo kilichobaki ni kusindikizana tu.
Kama mwandosya aliona kapewa ili apumzike na ana vision nzuri "angeondoka aende vyama vingine" the fact that yupo anatakiwa alete maji kwa wananchi akishindwa ameshindwa yeye na waliomweka, therefore I find him ni different hana vision, hana chochote mchumia tumbo lake kama wenzake finito!
 
Kama mwandosya aliona kapewa ili apumzike na ana vision nzuri "angeondoka aende vyama vingine" the fact that yupo anatakiwa alete maji kwa wananchi akishindwa ameshindwa yeye na waliomweka, therefore I find him ni different hana vision, hana chochote mchumia tumbo lake kama wenzake finito!
Labda kama ulitarajia ayeleta kwa style ya Musa kugonja fimbo kwenye jabali na chemchemu ikatokea!.
Miongoni mwa mawaziri credible wa JK, ni Mwandosya na Magufuli na wamepewa hizo wizara ili kuwaweka mbali na 2015.
Jamaa sio wababaishaji, very professional japo sometimes wanachemsha na kuhamanika kama Magufuli na samaki wa wizi, na Mwandosya na siasa za Mbeya.
 
Mwandosya angalikuwa Rais wa Tanzania basi mambo ya JK na mabarabara tunayo lia leo ingalikuwa ni mara 10 jamaa ni mkabila na kiburi sana mwache ashinde kwenye maji .Abakie kuwa Rais wa Mbeya tu .
 
Labda kama ulitarajia ayeleta kwa style ya Musa kugonja fimbo kwenye jabali na chemchemu ikatokea!.
Miongoni mwa mawaziri credible wa JK, ni Mwandosya na Magufuli na wamepewa hizo wizara ili kuwaweka mbali na 2015.
Jamaa sio wababaishaji, very professional japo sometimes wanachemsha na kuhamanika kama Magufuli na samaki wa wizi, na Mwandosya na siasa za Mbeya.
Credibility haitokani na maneno ya mwana JF, hizo ni wishes zako, credibility ni kwamba ukiona watu wana ku-sideline unafanya uamuzi sahihi quit with respect! vilevile professionals hahahaha! professional politicians yes otherwise I beg to differ! wachumia tumbo hakuna maji tanzania he is a failure yeye na aliyemuweka no different!
 
MWANDOSYA ni mtabe wa telecom,na computer engineering!nakumbuka prof luhanga alikuwa nasema tukiwa chuo kwamba tz hii kuna maprof wawili tuambao wanajulikana KIMATAIFA,yeye(mathew) na mwandosya!jamaa ni mzuri sana kwenye computer engineering!ndo maana ben alimpa ile wizara ya sayansi.......

Sasa visa vya huyu 'mkwere' kumweka sehemu ambayo hataweza kutumia utaalamu wake NI UBINAFSI MKUBWA,NA UROHO MKUBWA SANA WA MADARAKA!

The government is misusing tje resources!tatizo ni huyu 'mkwere'.sijui yukoje huyu
 
Hawa walimu wanatakiwa waige kwa Dr.Limbu na Dr.Billal, warudi madarasani wafundishe.

prof.msola, prof.mwandosya, prof.maghembe, prof.kapuya dr.nsekela! jamani UDOM hakuna wahadhiri, prof.kikula anahangaika na wakenya! simkasaidie kama anavyofanya dr.Billal na Limbu! kwanza output yenu bungeni sifuri!
 
MWANDOSYA ni mtabe wa telecom,na computer engineering!nakumbuka prof luhanga alikuwa nasema tukiwa chuo kwamba tz hii kuna maprof wawili tuambao wanajulikana KIMATAIFA,yeye(mathew) na mwandosya!jamaa ni mzuri sana kwenye computer engineering!ndo maana ben alimpa ile wizara ya sayansi.......

Sasa visa vya huyu 'mkwere' kumweka sehemu ambayo hataweza kutumia utaalamu wake NI UBINAFSI MKUBWA,NA UROHO MKUBWA SANA WA MADARAKA!

The government is misusing tje resources!tatizo ni huyu 'mkwere'.sijui yukoje huyu
Hana lolote prof. mzima unaendeshwa na mkwere kama ameona hatumia utaalamu wake ana quit ..hapo ndio tutaona "siyo profesa wa kuchumia tumbo lake" he is in the list of failed professors in Tanzania..Lol big shame
 
Je Kampeni za Mwandosya ndo zimeanzia Bungeni? Leo wakati Wizara yake ikijadiliwa, ilionyesha wazi kwamba alikuwa amewapandikiza watu wa kumpigia debe! Hata hivyo Dar- hakuna maji wiki ya tatu sasa!
Maji maji! Mwandosya kafanya nini?

Thank you for your kind observation. Lakini
1. Nani kati ya waliochangia unadhani walipandikizwa
2. walisema nini?
3. Kwanini unadhani walipandikizwa? Hawawezi kujipendekeza bila kupandikizwa?
4. Ni Kampeni za ubunge au Urais? kama urais wa mwaka gani 2010/15?
5. Bajeti yake imekaaje? Inaonyesha mwelekeo wowote wa kutatua matatizo ya maji? Umesoma Bajeti yake lakini? Umeielewa? Hovyo?

Nadhani utakuwa umejiweka kwenye nafasi nzuri sana kwa wakati mwingine utakapokuwa unajenga hoja yako kwa kuweka bayana Data zako. Post kama hii huwa tunaita ni majungu kwani hakuna facts, hakuna evidence, hakuna any data. Nadhani watanzania wengi tunawalaumu viongozi wetu kwa kushindwa kuweka mambo sawa agharabu kuyaelezea, lakini bahati mbaya sana hata sisi tunaolalamika hatuweki malalamiko yetu sawa, kama hili.

Huwezi sema kuna kampeni na hujachanganua katika michango ya wabunge kuwa hili na hili hayako sahihi kwa sababu hizi na hizi.

Nadhani sasa litakuwa jambo la maana hapa JF kama tutaanza kujengana namna ya kujenga hoja, itatusaidia sana. Kama tutaendelea namna hii hatutafika popote na wala sioni tofauti na magazeti ya Bw. Shigongo yenye kichwa cha habari kitamu ukifungua ndani ni Udaku usio na kichwa wala miguu.

Mwandosya sio chaguo langu katika nafasi ya urais (ninazo sababu) Ila kwa hii post SAMHANI sioni kama imeletwa kwa mtiririko mzuri.:confused:
 
Hivi nyie wanayompinga Mwandosya kuna shida gani? Mbona wananchi wengi wanampongeza au mnataka nvua za lowassa za kutengeneza???????????????Maji nchi hii ni shida,miti mnakata, mazingira mnaharibu mnafikiri nvua zitatoka wapi??
Mwandosya anajitahidi hata umpe wizara gani ataweza tu.Ana akili zakuzaliwa sio za kusoma mpaka akawa profesa
 
Ukiwa kiongozi wa juu na hasa serikalini,Siasa ni pamoja na kuwazima unaowaona wako juu na wanaweza kuleta upinzani kwa namna fulani au wanaweza kukufunika na kuwa maarufu zaidi yako au wanoweza kuonyesha utendaji mzuri zaidi yako.Ndicho alicho kifanya Kikwete kuwazima baadhi ya watu wanaoaminika kuwa serious katika utendaji akiwemo Prof.Mwandosya.Mwanzoni aliona apumzikie wizara ya Mazingira akaona ni kama kampendelea vile akaamua kumpatia Wizara ya maji haya yote aliyafanya rais kwa kuwa tu alishauriwa kutomtupa mtu kama huyo mwenye influence kubwa kwa chama si unajua siasa za JK za visasi?.Ukiangalia how professional he is na wizara anazopewa utaona nnachokisema hizi ni wizara za kujifunzia kazi.Halikadhalika ndicho kilichotokea kwa Magufuli.
kAZI TUNAYO......
Naamini nimesomeka.
Rais akikuteua uwe waziri wa maji ni sawa na kukuchongea kwa wananchi. Serikali yenyewe priorities zake hata hazijulikani, waziri anaweza kuwa na vision nzuri sana lakini akaishia kuwa frustrated kwa maamuzi mabovu yanayoangalia siasa zaidi kuliko mahitaji halisi ya huduma kwa jamii.

Kwa hiyo Mwandosya yawezekana aliwekwa huko ili akapumzike na kupoteza umaarufu kabisa. Hivi siku hizi mnasikia tena kelele za Magufuli? Alipokuwa Ujenzi ni kila siku alikuwa kwenye magazeti na takwimu za barabara zote za Tanzania akiwa nazo in his finger tips. Akaenda Wizara ya Ardhi akaonekana bado anaonekana kwenye vyombo vya habari, baada ya hapo ni juzi tumemsikia kwenye sakata la wavuvi haramu na sijamsikia tena. Siku hizi ameamua kujiunga na wapiga debe wa kampeni za CCM, mara ya mwisho alionekana mitaa ya Busanda akimpigia debe mgombea wa CCM.

CCM imeishapoteza mwelekeo na wengi walioko huko wapo tu kwa kuwa hawana jinsi, lakini majority of them wako frustrated sana. Kwa nje unaweza kuhisi kwamba wana mtandao wameshika nchi, lakini si wote. Kwa hiyo kilichobaki ni kusindikizana tu.
 
As Mao once said,"No research no right to speak",honestly i respect u peoples' opinions i would only differ with some foolish comments that do not reflect the point what is wrong with him (Hon.Prof. Mark. J. Mwandosya), tell us the point where has he been inactive or irresponsible as a Minister of Water and Irrigation. point out clearly on issues he wasn't in a position to act for peoples' interest. Surprising enough i wonder if u watched late evening session when "the chairperson of that particular session" himself diligently applauded the minister hugely. what sort of "kiburi" do u mean, such unthinkable opinions will take us no where. Let make the forum of excellent digested ideas take its cause with wise and fair arguments(opinions).

"Would u kindly and equally share with me" as it prevail in the books of facts" We are all entitled to opinions but we should not force to make our opinions into "facts".

As we strive to build this country in all our endeavours if not struggles, wherever we work, let us invest on enhancing positive attitude towards each other" tribalism, sectorianism,religious segregation,race, and all sort not limited to this! wisdom is emulating thoughtful ideas and not outburst of undigest ideas and if they stand to be thoughtful probably biased and poorly presented before the global community.


For God and My Country
"we either win or they lose"
Sir Lolipop! Give strength to all legends of N.S.I.B.I.R.W.A HALL (MUK)
 
Hii ni moja kati ya wizara ambazo ukibahatika kuteuliwa kuiongoza hauna haja ya kupiga kelele. Ina Wahandisi wazuri sana wanaojua namna ya kuishi na wanasiasa wetu kama Prof Mark Mwandosya. Dr Slaa jana alijaribu kunusa kidogo mtandao huu nadhani majibu ya waziri Mwandosya yatamfanya atafakari upya.
 
Back
Top Bottom