Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Wamefanyiwa upasuaji(operation) katika hospitali moja nchini India ijulikanayo kama Apollo iliyopo mjini Hyderabad.
Prof Lipumba ana tatizo la figo na keshafanya upasuaji na alishindwa KUELEZEA hali yake kwakuwa dawa za usingizi
zilikuwa bado hazijaisha, akashindwa kuongea.
prof Mark Mwandosya anaumwa uti wa mgongo na kuna pingili moja ya mgongo imeoza, keshafanyiwa upasuaji na
yupo huko wiki ya pili sasa. Tatizo lilianza wakati yupo kwenye kikao cha bunge. Kapelekwa muhimbili lakini wapi.
Mungu awape baraka zake mpone haraka mje kutumikia taifa.
sosi: Gazeti(Mtanzania kama sio Tanzania Daima)
Prof Lipumba ana tatizo la figo na keshafanya upasuaji na alishindwa KUELEZEA hali yake kwakuwa dawa za usingizi
zilikuwa bado hazijaisha, akashindwa kuongea.
prof Mark Mwandosya anaumwa uti wa mgongo na kuna pingili moja ya mgongo imeoza, keshafanyiwa upasuaji na
yupo huko wiki ya pili sasa. Tatizo lilianza wakati yupo kwenye kikao cha bunge. Kapelekwa muhimbili lakini wapi.
Mungu awape baraka zake mpone haraka mje kutumikia taifa.
sosi: Gazeti(Mtanzania kama sio Tanzania Daima)