Yap.....nadhani aliyeuliza atakuwa kapata jibu.Mkuu usisahau na ile ya vodacom kuwasomesha watoto wake katika vyuo vikuu huko Afrika Kusini! Ni wakati akiwa waziri wa mawasiliano!
Sasa huyu ndiy0 mgombea........2005 aliingia top 3..ametulia sana alinifurahisha alipochangia bungeni mjadala wa escrow..hakugugumia kusema alichokiamini hata kama alijua mabosi wake hawakubaliani nacho!
kila la heri Mark Mwandosya (PhD)
Hivi baba mzazi wa nape ni nani kweli!?
Hiyo spin ya TTCL ilitengenezwa na kundi la mtandao , ambamo walioko mdarakani wamo.Tafuta nyuzi humu zipo nyingi humu tu. TTCL.....
Angalau huyo,katulia,mnyenyekevu,na anaonyesha ukomavu mkubwa sana wa kisiasa anavyopangua hoja za wapinzani.
Kashfa anayo tena kubwa sana nayo ni:-
Alilishwa/alipakwa/aliwekewa sumu na wana ccm wenzie akaenda kuponea india, LAKINI AMEGOMA KUWAMBIA WATANZANIA NA DUNIA KWA UJUMLA UKWELI NA UOVU WA CCM.
Hiyo ndiyo kashfa yenyewe.
Bila shaka katika lichama lao ndiye pekee aliyebaki bla k..sh.fa
afadhari mgonjwa mwenye upeo kuliko wenye afya kama kina pinda.
Nani kakudanganya kwamba pinda ana afya?afadhari mgonjwa mwenye upeo kuliko wenye afya kama kina pinda.
Alishapunguza ulevi? Maana huyo baba kwa whisky hana tofauti na samaki na maji.Hahaaa hii nimeipenda sana ila jumla ya yote huyu anafaa na ndo maana mungu amemuokoa na hiyo sumu,me binaf namkubali sana huyu mtu
Hana kashfa??? Huna taarifa zake.
Tatizo is he capable??? tusivutwe na slogan za msimu tu!
Alishapunguza ulevi? Maana huyo baba kwa whisky hana tofauti na samaki na maji.