Mwandosya atangaza nia kiaina!

Mwandosya atangaza nia kiaina!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,865
Reaction score
18,146
Amesema baada ya kupita bila kupingwa kwa miaka 15 (vipindi vitatu) kama mbunge wa Rungwe Mashariki (Busokelo) sasa ameamua kung'atuka ubunge na kwamba sasa ni wakati muafaka wa kulitumikia taifa katika ngazi nyingine!

Ametoa kauli hiyo leo wakati akichangia bungeni hoja ya waziri wa nchi ofisi ya rais!
 
Double std ya hili lichama la nape kukemewa wapendwa wa wananchi na kuacha vipanyabuku vikitamba nasema si sawasawa
 
Amesema baada ya kupita bila kupingwa kama mbunge wa Rungwe Mashariki (Busokelo) sasa ameamua kung'atuka ubunge na kwamba sasa ni wakati muafaka wa kulitumikia taifa katika ngazi nyingine!

Ametoa kauli hiyo leo wakati akichangia bungeni hoja ya waziri wa nchi ofisi ya rais!

Mh karibu sana ktk kinyanga'anyiro kwani tayari chama chetu tuna watangaza nia sasa ni 25
 
Amesema baada ya kupita bila kupingwa kama mbunge wa Rungwe Mashariki (Busokelo) sasa ameamua kung'atuka ubunge na kwamba sasa ni wakati muafaka wa kulitumikia taifa katika ngazi nyingine!

Ametoa kauli hiyo leo wakati akichangia bungeni hoja ya waziri wa nchi ofisi ya rais!

Bila shaka katika lichama lao ndiye pekee aliyebaki bla k..sh.fa
 
Inawezekana kuwa katika watangaza nia wote ni yeye tu ambaye hatujawahi kusikia kuwa kaiba kitu ndani ya magamba. Na isitoshe anamtaji wa wanakusini ambao Mbeya haijawahi kutoa hata waziri mkuu tangu uhuru. Na nafikiri ndo kandaa ya pili kwa ushawishi ikiongozwa na kanda ya ziwa.
 
Amesema baada ya kupita bila kupingwa kama mbunge wa Rungwe Mashariki (Busokelo) sasa ameamua kung'atuka ubunge na kwamba sasa ni wakati muafaka wa kulitumikia taifa katika ngazi nyingine!

Ametoa kauli hiyo leo wakati akichangia bungeni hoja ya waziri wa nchi ofisi ya rais!
Yaani we pimbi, hata kutamka urais hajatamka!
Unataka kuwatia joto kina EL?
 
Bila shaka katika lichama lao ndiye pekee aliyebaki bla k..sh.fa

Kashfa anayo tena kubwa sana nayo ni:-

Alilishwa/alipakwa/aliwekewa sumu na wana ccm wenzie akaenda kuponea india, LAKINI AMEGOMA KUWAMBIA WATANZANIA NA DUNIA KWA UJUMLA UKWELI NA UOVU WA CCM.
Hiyo ndiyo kashfa yenyewe.
 
Aje tumpime kwa hoja tuone km anatosha. Naona anaweza kutufaa sn mwandosya coz ni mwadilifu, msomi, mchapa kazi na anapenda kutenda haki
 
Angalau huyo,katulia,mnyenyekevu,na anaonyesha ukomavu mkubwa sana wa kisiasa anavyopangua hoja za wapinzani.
 
Sasa huyu ndiy0 mgombea........2005 aliingia top 3..ametulia sana alinifurahisha alipochangia bungeni mjadala wa escrow..hakugugumia kusema alichokiamini hata kama alijua mabosi wake hawakubaliani nacho!

kila la heri Mark Mwandosya (PhD)
 
Yule jamaa mchapakazi na mwenye maamuzi magumu akisikia ataanguka presha.
 
afadhari mgonjwa mwenye upeo kuliko wenye afya kama kina pinda.
 
Back
Top Bottom