Mwandishi wa gazeti la Jamhuri, Angellah Kiwia afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za utekaji na kuendesha genge la uhalifu

Ndugu Waandishi wa Habari, vipi tena!! Ni vyema mkaamua kuishi maisha yenu halisi. Hii awamu ni ngumu sana. Bahasha za khaki zimeadimika kweli kweli! hivyo mkubali tu kubadilika.
 
Shida yenu ndo hii, akiwa mwanamke hawezi kuwa mhalifu?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli akiwa mwanamke aweza kuwa mhalifu tena hatari hadi danger. Ila, mhh hata ule mkao kwenye picha tu na lile likanga, na umri wake mdogo hivyo yaani 40na ushee? ? Kweli? ? wamfutie shitaka wambambikie jingine hata la kuuza cha Archuga. Tutawaelewa kidogo
 
Inawezekana alitumika kukamilisha mchakato wa kupata pesa ama kwa kupiga au kuongea na simu au kutoa eneo la kumuweka mateka au kutoa gari lake au kutoa taarifa au maelekezo yaliyosaidia kukamilisha utekaji. Everything is possible kwenye hii case.

Tusubiri statement of facts


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kweli akiwa mwanamke aweza kuwa mhalifu tena hatari hadi danger. Ila, mhh hata ule mkao kwenye picha tu na lile likanga, na umri wake mdogo hivyo yaani 40na ushee? ? Kweli? ? wamfutie shitaka wambambikie jingine hata la kuuza cha Archuga. Tutawaelewa kidogo

Huyu ni mwandishi wa habari tena mwanamke. Anaweza kuwa na taarifa nyingi sana so kushiriki aina hii na uhalifu ni rahisi sana kuliko kuuza huo mzigo wa Arusha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe na hao wanapinga wote ni walewale,ukweli utapatikana mahakamani,we hujawahi kuona MTU kakamatwa kasoteswa weee jela kisha anaachiwa kuwa hakuwa na hatia?au hujaona MTU kaachiwa kisha kaja kukamatwa tena baada ya kupatikana na hatia?watanzania mnaongea sana kila kitu mnaingiza siasa
Kuna watu wameumbwa kubisha hata kama ukweli upo wazi bado kubisha ni kasumba yao sasa kwa hawa watuhumiwa ukweli upo mahakamani mtu anasema wameonewa fedha walizoomba wamekamatwa nazo bado watu fulani wanadai wameonewa wangeachwa bado wangesema serikari wazembe,sasa kipi bora serikari yako kuwa wazembe au watenda kukamatwa kufikishwa mahakamani Kisha kuambiwa waonevu? Wangeuliwa je mngesemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri na uthibitisho wa kazi ya genge lake upo ambayo ndo huyooo m30 alizoomba kwa mtekwa sa sijui anasingiziwaje hapo
Kinavhoandikwa kwenye hati ya mashtaka ndo uthibitisho wa kosa? Kama ni uthibitisho kwa nini kinabishaniwa na pande mbili hadi mwisho wa kesi? Charge sheet ngapi zinapelekwa mahakamani baadaye tunaambiwa kesi imefutwa kwa kosa kutothibitika? Acheni ubabe wa kudhani kwa vile mko upande wa CCM basi mko salama na mnajua kila kitu. Yatawageuka siku moja hamtaamini, kama siyo nyie basi vizazi vyenu vitajibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinavhoandikwa kwenye hati ya mashtaka ndo uthibitisho wa kosa? Kama ni uthibitisho kwa nini kinabishaniwa na pande mbili hadi mwisho wa kesi? Charge sheet ngapi zinapelekwa mahakamani baadaye tunaambiwa kesi imefutwa kwa kosa kutothibitika? Acheni ubabe wa kudhani kwa vile mko upande wa CCM basi mko salama na mnajua kila kitu. Yatawageuka siku moja hamtaamini, kama siyo nyie basi vizazi vyenu vitajibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ni mahakama? Je wale wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na ofisi gani za ccm je ccm wanafungua file la kesi? Usilete siasa kwenye uvunjifu wa amani yatakukuta ukose wa kumlaumu
 
Huyu ni mwandishi wa habari tena mwanamke. Anaweza kuwa na taarifa nyingi sana so kushiriki aina hii na uhalifu ni rahisi sana kuliko kuuza huo mzigo wa Arusha


Sent from my iPhone using JamiiForums
So, kumbe amepatikana na clasified info? ? Mwache aionje selo
 
Hii
Serikali imemfikisha mahakamani mwandishi wa habari wa Gazeti la Jamhuri, Angellah Kiwia (41) na mwenzake wakituhumiwa kwa mashtaka manne, ikiwemo utekaji nyara.

Angellah na Mohamed Rushaka (36), wamefikishwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashid Chaungu na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali, Ester Martine.

Wakili Ester alidai katika shtaka la kwanza, washtakiwa wanadaiwa kati ya Machi mosi na Machi 31, 2020 katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, kwa makusudi waliongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia faida.

Katika shtaka la pili la utekaji nyara kwa lengo la kudhuru, washtakiwa wanadaiwa siku hiyo katika Jiji la Dar es Salaam, walimteka Seleman Mohamed wakiwa na lengo la kumpeleka katika hatari ya kumuumiza.

Katika shtaka lingine, washtakiwa hao wanadaiwa wakiwa na lengo la kulipwa, walidai kiasi Sh milioni 30 kutoka kwa Seleman Mohamed, huku wakimtishia kumuua.

Shtaka la mwisho la kutakatisha fedha, washtakiwa hao wanadawa katika kipindi hicho walijipatia Sh milioni 30 kutoka kwa Mohamed, huku wakijua kuwa fedha hizo ni zao la makosa tangulizi ya kuratibu genge la uhalifu.

Upande wa Jamhuri ulidai upelelezi haujakamilika hivyo wanaomba tarehe nyingine kwa kesi kutajwa.

Washtakiwa hawakutakiwa kujibu lolote, Hakimu Chaungu aliahirisha kesi hiyo hadi Mei 25, itakapotajwa na wamerudishwa rumande kutokana na mashtaka yanayowakabili kutokuwa na dhamana

View attachment 1447840
Hii story haijakamilika kuna sehemu ina ukakasi. Ingawa pia inawezekana kweli bi dada ana shida sehemu na mihimili yetu ya nchi. Safari hii sio ununio bali daraja la mkapa. Kaka Tuchat
 
Hii

Hii story haijakamilika kuna sehemu ina ukakasi. Ingawa pia inawezekana kweli bi dada ana shida sehemu na mihimili yetu ya nchi. Safari hii sio ununio bali daraja la mkapa. Kaka Tuchat
Muulize wambura
 
Back
Top Bottom