Wamarekani washenzi sana,wao ndio waliosababisha iraq,syria,libya na ht afghanistan kuishi kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe,alimuua saddam bure kwa kisingizio eti ana silaha za nyuklia,wako wapi walibya waliokuwa wakiishi kwa raha nchini kwao kiliko nchi yoyote duniani unayoijua wewe,leo mmarekani anawapiganisha na kuwaua raia bila kosa lolote,mbona hajawahi kuinua mdomo kwa kuwaonya waisrail kuwaua watoto na wanawake wasio na hatia huko gaza,haya ndio malipo yenu tunakusubirini na huku iran mje mtugombanishe muone km mtaishi tena nje ya nchi yenu,wasiojua wataona waislam wanawachinja bila kosa lkn kosa limefanya nchi yao kwa kumwaga damu ndani ya nchi za watu,yuko wapi sadam na wanawe leo hii?yuko wapi gadafi na wanawe leo hii?yote hayaonekani wanaonekana hao wenye machungu ya kuvamiwa na kupiganishwa ndani ya nchi yao kuwa wao ndio wahalifu,wamarekani msipojirekebisha mtamalizwa kidogo kidogo,ajenda ya siri ya obama imejulikana na sasa ni kuwalipiza kisasi tu,haihusiani na dini na hata ukiwasikiliza ISIS wanaeleza wazi wanachowachinjia wamarekani.