Mwanaumee usifanye hivi kwenye mtoko!

Mwanaumee usifanye hivi kwenye mtoko!

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,317
Unapotoka na msichana yoyote yule, hata kama ana kuzidi kipato kwa kiasi gani, hakikisha wewe ndio unakuwa msimamizi wa show. Ikija bili, akitaka kulipa , mwambie " Please, nitalipa mimi ", hakikisha hauruhusu mwanamke huyo kutumia hata senti tano yake kulipia chochote kile.... Usikubali kumruhusu mwanamke atumie pesa yake kwenye mtoko.Najua una degree, masters,au/na PHD but am sure as hell waalimu wako hawajawahi kukufundisha kitu kama hiki...
 
Unapotoka na msichana yoyote yule, hata kama ana kuzidi kipato kwa kiasi gani, hakikisha wewe ndio unakuwa msimamizi wa show. Ikija bili, akitaka kulipa , mwambie " Please, nitalipa mimi ", hakikisha hauruhusu mwanamke huyo kutumia hata senti tano yake kulipia chochote kile.... Usikubali kumruhusu mwanamke atumie pesa yake kwenye mtoko.Najua una degree, masters,au/na PHD but am sure as hell waalimu wako hawajawahi kukufundisha kitu kama hiki...

Acha mawazo ya kijima wewe. Ukidume si kutoa pesa bali uwezo wako kitandani.
 
Unapotoka na msichana yoyote yule, hata kama ana kuzidi kipato kwa kiasi gani, hakikisha wewe ndio unakuwa msimamizi wa show. Ikija bili, akitaka kulipa , mwambie " Please, nitalipa mimi ", hakikisha hauruhusu mwanamke huyo kutumia hata senti tano yake kulipia chochote kile.... Usikubali kumruhusu mwanamke atumie pesa yake kwenye mtoko.Najua una degree, masters,au/na PHD but am sure as hell waalimu wako hawajawahi kukufundisha kitu kama hiki...

Why??????
 
Acha mawazo ya kijima wewe. Ukidume si kutoa pesa bali uwezo wako kitandani.

Hivi kumbe kuna wanaume hawana uwezo kitandani? anayways hapa ninaongea na mwanaume ambaye tayari ana uwezo kitandani, siongei na makhanithi kama wewe.
 
Mmmhhh mimi tukitoka My wangu ananipa mimi hela ya kulipa ila akilipa yeye mamaid wanachelewesha chenji mara oooh hakuna chenji au ukiliuza ni bil shilingi ngapi wanazidisha hata elfu moja. kwa hesabu kapata kwa kweli sibakishi hata sh 50 yangu.
 
Unapotoka na msichana yoyote yule, hata kama ana kuzidi kipato kwa kiasi gani, hakikisha wewe ndio unakuwa msimamizi wa show. Ikija bili, akitaka kulipa , mwambie " Please, nitalipa mimi ", hakikisha hauruhusu mwanamke huyo kutumia hata senti tano yake kulipia chochote kile.... Usikubali kumruhusu mwanamke atumie pesa yake kwenye mtoko.Najua una degree, masters,au/na PHD but am sure as hell waalimu wako hawajawahi kukufundisha kitu kama hiki...

Kwa hapo tu, ndipo ninapojiona tofauti na wanaume wengine.

Haiwezekani tutoke wote mtoko, tule wote, tunywe wote, tufurahie raha zote pamoja halafu kwenye swala la Bill "eti uniachie mimi ndo nilipe".

Labda kama nimeamua mwenyewe kulipia ila isiwe sheria yakwamba tukila lazima nimlipie na mwenzangu.
 
Nikikutoa mtoko nitalipa maana mi ndo nimekuhost na sintakualika kama sijapanga kutumia. Ila kwa namna yoyote ile mtoko ukiuanzisha wewe lazima ulipe maana wewe ndo umenialika. Unataka chukua hii, hutaki tupa kule!
 
Unapotoka na msichana yoyote yule, hata kama ana kuzidi kipato kwa kiasi gani, hakikisha wewe ndio unakuwa msimamizi wa show. Ikija bili, akitaka kulipa , mwambie " Please, nitalipa mimi ", hakikisha hauruhusu mwanamke huyo kutumia hata senti tano yake kulipia chochote kile.... Usikubali kumruhusu mwanamke atumie pesa yake kwenye mtoko.Najua una degree, masters,au/na PHD but am sure as hell waalimu wako hawajawahi kukufundisha kitu kama hiki...
Inategemea unatoka na nani.. kama mkuu ndio umeibuka na kifaa huko kwenye mizunguko yako kwa mara ya kwanza poa, hapo unalinda heshima, lakini kama ni mtu wako wa siku nyingi hapo ni makubaliano tu, mke au mume ni sawa ku-fix the bill..!!
 
Unapotoka na msichana yoyote yule, hata kama ana kuzidi kipato kwa kiasi gani, hakikisha wewe ndio unakuwa msimamizi wa show. Ikija bili, akitaka kulipa , mwambie " Please, nitalipa mimi ", hakikisha hauruhusu mwanamke huyo kutumia hata senti tano yake kulipia chochote kile.... Usikubali kumruhusu mwanamke atumie pesa yake kwenye mtoko.Najua una degree, masters,au/na PHD but am sure as hell waalimu wako hawajawahi kukufundisha kitu kama hiki...

Ikiwa umefundishwa hivyo basi kosa lako ni kukubali kufanyia kazi kila ulichofundishwa bila kuchanganya na zako. wakati wanawake wenyewe wanailia haki sawana kusema kuwa wanaweza bila hata kuwezeshwa wewe unazidi kuwadhalilisha kuwa hawawezi.
 
Hivi kumbe kuna wanaume hawana uwezo kitandani? anayways hapa ninaongea na mwanaume ambaye tayari ana uwezo kitandani, siongei na makhanithi kama wewe.

Mbona povu linakutoka na matusi juu. Au ndio kabang yako inakusumbua?
 
Unapotoka na msichana yoyote yule, hata kama ana kuzidi kipato kwa kiasi gani, hakikisha wewe ndio unakuwa msimamizi wa show. Ikija bili, akitaka kulipa , mwambie " Please, nitalipa mimi ", hakikisha hauruhusu mwanamke huyo kutumia hata senti tano yake kulipia chochote kile.... Usikubali kumruhusu mwanamke atumie pesa yake kwenye mtoko.Najua una degree, masters,au/na PHD but am sure as hell waalimu wako hawajawahi kukufundisha kitu kama hiki...

First & foremost... Duniani kote hakunaga 'shule' ya mapenzi

Wat if yeye (msichana) ndo ka-initiate huo mtoko, yani YEYE ndo kanitoa OUT mimi? Hata apo pia should I cover the entire bill??!
Mkuu Liqud, acha kukariri mambo. There's No Permanent Situation!!
 
Nikikutoa mtoko nitalipa maana mi ndo nimekuhost na sintakualika kama sijapanga kutumia. Ila kwa namna yoyote ile mtoko ukiuanzisha wewe lazima ulipe maana wewe ndo umenialika. Unataka chukua hii, hutaki tupa kule!

nakubaliana na wewe
 
Ujue hata sisi watu wa POLIGAMY, MITAALA na MAFIGA MATATU tunakuwa na RANK zetu jinsi tunavowakubali wakiume! Ukiwa bahili ndo utamiliki rank ya kuruta mpaka ujambeee! Ila ukiwa mkarimu YOU EARN YA POSITION AS THE MAN OF THE RELATIONSHI SINCE THERE CAN BE ONLY 1 MAN IN ANY RELATION, So kama nafasi yako huitaki wadada wanaikaimu tu!
 
inaelekea wewe bado uko karne ya 19
kulipa ni wote ndugu kama wote mna kipato
ila mtu afungue pochi yake alipe walau kitu kimoja
enzi wa kumlipia mwananke kila kila kitu zishapitwa na wakati..
kama una girlfriend wako anafanya kazi mkitoka out halipi chochote achana nae hafai kuwa mke
huyu ukimwoa siku unaishiwa au huna kazi ujue na mke huna pia.
wazoesheni wenza wenu kufungau pochi zao na sio kuwadekeza kama watoto.
 
watu wamesha-declare humu, hata uji hawezi kukukorogea...sembuse kulipa bill !!
--Kweli nimeamini... kupata mtu anayeelewa maana ya mahusiano siku hizi ni kazi kuliko hata kupata PHD...
 
Mtoa hoja una uelewa mdogo sana wa kupambanua mambo, nakuona unajitahidi ku2kana watu bdla ya kujibu hoja....
Kimsingi umeshindwa kutetea hoja yako...
Pili hoja yako haina mashiko... Nenda halafu urudi next time!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom