Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
kila muda anapiga cm kwa mpenzi wake umeivisha, umepika nn nije kula, nipikie basi nakuja kula, utaniandalia nn nije kula. nisaidieni mwanaume wa hivi nimueleweje au ndio kawaida kwa wapendanao!!!!
kila muda anapiga cm kwa mpenzi wake umeivisha, umepika nn nije kula, nipikie basi nakuja kula, utaniandalia nn nije kula. nisaidieni mwanaume wa hivi nimueleweje au ndio kawaida kwa wapendanao!!!!
Kama anakupa hela, na kukumiminia protini mpaka unaridhika siamini kama ungeanzisha hii sredi
Sasa hebu funguka vizuri tukusaidie. Wanawake wenzako wanaotafuta hiyo bahati we unaona kero?
Watakucheka watu!
Kama anakupa hela, na kukumiminia protini mpaka unaridhika siamini kama ungeanzisha hii sredi
Sasa hebu funguka vizuri tukusaidie. Wanawake wenzako wanaotafuta hiyo bahati we unaona kero?
Watakucheka watu!
kila muda anapiga cm kwa mpenzi wake umeivisha, umepika nn nije kula, nipikie basi nakuja kula, utaniandalia nn nije kula. nisaidieni mwanaume wa hivi nimueleweje au ndio kawaida kwa wapendanao!!!!
shkamoo babu
Kama anakupa hela, na kukumiminia protini mpaka unaridhika siamini kama ungeanzisha hii sredi
Sasa hebu funguka vizuri tukusaidie. Wanawake wenzako wanaotafuta hiyo bahati we unaona kero?
Watakucheka watu!
Hawa ni ngumu kuwafumania wake zao
Kama anakupa hela, na kukumiminia protini mpaka unaridhika siamini kama ungeanzisha hii sredi
Sasa hebu funguka vizuri tukusaidie. Wanawake wenzako wanaotafuta hiyo bahati we unaona kero?
Watakucheka watu!
Marahabaaa mjukuu mteule.....
Hebu niambie unaipenda rugby kuliko babu yako? Hivi unajua mjukuu ni mke wa babu?
jana tu mwanamke mmoja kalalamika kwamba mme wake hana wivu nae sasa wewe unataka upendejwe.
Afu mjukuu wangu mteule afrodenzi,
Tuna nini mimi na wewe?
Haikupasi kumtendea babu yako namna hii.
Nimekumisi mpaka najionea aibu kumoyo
kila muda anapiga cm kwa mpenzi wake umeivisha, umepika nn nije kula, nipikie basi nakuja kula, utaniandalia nn nije kula. nisaidieni mwanaume wa hivi nimueleweje au ndio kawaida kwa wapendanao!!!!