Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
sio dogo ana miaka 38
Ah! Miaka 38 ni mzee kabisa huyo, huwezi kumbadilisha tena. Waambie watu wazima waongee nae labda ana matatizo makubwa zaidi ya hayo. Maana si kawaida kwa umri huo kufanya mambo hayo.