kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,035
- 2,211
Mwanaume anapo kuwa kwenye age ya 20s anakuwa very sexual active na huwa asilimia kubwa ya akili zao huwaza sex kitu ambacho kinakuwa kinyume na wanawake wao kwenye hii age 20s huwa hawapo sexual active as boys.
Wanawake wanapo fika age 35 and above wanaanza kuwa sexual active hasa hasa wanapo fikia age ya 40s kitu ambacho ni kinyume na wanaume
So plz plz wanaume angalia sana usitumike sana kwenye hii age 20s hasahasa wale wanaofanya masterbation surely am telling utakuja kujutia unapofika age 40s utaona kama ni familia mke anauhitaji sana lakn mume uwezo na uhitaji umepungua kwa kias kikubwa na ukichunguza kwakias kikubwa hii ndo huwa chanzo cha wanandoa kuchepuka .
So nikushaur ww mwanaume unaefanya nyeto jifunze madhara ya nyeto kisha fanya maamuz nyeto inafaida na hasara ukijaribu kulinganisha kweny mzani utaona hasara ni nyingi na mbaya sana kulinganisha na faida jithamini jione mwenye thamani sijaribu kuudhuru mwili wako kwa nyeto ambayo inakupa furaha ya muda mfupi tu.
Wanawake wanapo fika age 35 and above wanaanza kuwa sexual active hasa hasa wanapo fikia age ya 40s kitu ambacho ni kinyume na wanaume
So plz plz wanaume angalia sana usitumike sana kwenye hii age 20s hasahasa wale wanaofanya masterbation surely am telling utakuja kujutia unapofika age 40s utaona kama ni familia mke anauhitaji sana lakn mume uwezo na uhitaji umepungua kwa kias kikubwa na ukichunguza kwakias kikubwa hii ndo huwa chanzo cha wanandoa kuchepuka .
So nikushaur ww mwanaume unaefanya nyeto jifunze madhara ya nyeto kisha fanya maamuz nyeto inafaida na hasara ukijaribu kulinganisha kweny mzani utaona hasara ni nyingi na mbaya sana kulinganisha na faida jithamini jione mwenye thamani sijaribu kuudhuru mwili wako kwa nyeto ambayo inakupa furaha ya muda mfupi tu.