Ni kweli Mwanamke (mwenye sifa njema za kike) sio wa kuumizwa kamwe kwsbb Mungu anahesabu kila chozi la Mwanamke,kwanza ni viumbe dhaifu.
ILA sio kila anayeitwa mwanamke basi ni mwenye sifa njema na atapata mtu wa kumtreat vizuri. Ukijiheshimu na kumheshimu Mumeo hata Mungu atakuheshimu.