Mwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.
Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili kukanyagwa. Sio kichwa chake ili kuwa juu yake. Lakini kwenye upande wake ili kuwa sawa. Chini ya mkono ili alindwe. Na baada ya moyo ili apendwe
Kwa hyo mwanaume ndo wa kulizwa na mwanamke cyoo@unaongea nn ww m juzjuz tuu nimetoka ku b cheated na girLwangu@afu et unasema bLah blah....
Ni kweli mwanaume halisi hatakiw kumuumiza mwanamke, ila mwanamke halisi pia hatakiw kumuumiza mwanaume.
Mungu anahesabu machozi ya mwanamke sio kila mwanamke tuu, na sio katika kila kilio cha mwanamke...huwezi kuwa katika hali za dhambi mf uzinzi ambavyo ni chukizo kwa Mungu baba basi eti mungu akahesabu machoz yako katika hali ya mambo ga dhambi.
Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume ili awe msaidizi wa mwanaume awe mwenye heshima, mtiifu na mvumilivu
Ni kweli Mwanamke (mwenye sifa njema za kike) sio wa kuumizwa kamwe kwsbb Mungu anahesabu kila chozi la Mwanamke,kwanza ni viumbe dhaifu.
ILA sio kila anayeitwa mwanamke basi ni mwenye sifa njema na atapata mtu wa kumtreat vizuri. Ukijiheshimu na kumheshimu Mumeo hata Mungu atakuheshimu.
Msituumize jamani t
upeni maraha tuu
na wewe toa jibu
Sijawahi kwa kukusudia, labda kwa bahati mbaya..
vizuri sana ila mwanamke akikutolea chozi kuna ile raha mwanaume unajisikia.