KAJICHO KIVULI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,061
- 546
Ubahili tu huo
Aaah mnatukamua sana, mkiambiwa kuchangia matumizi wakali, ila usiku unakaa beneti sogea basi baba kingwendu mbona upo mbali hauhisi kiwinta jamaani?
Halafu hawa inaonyesha walikuwa wanaandamana, hahahaha chezeya uchumi kuyumba.
Aaah mnatukamua sana, mkiambiwa kuchangia matumizi wakali, ila usiku unakaa beneti sogea basi baba kingwendu mbona upo mbali hauhisi kiwinta jamaani?
Swala la matumizi,sidhani kama ni la mume pekee,ni sote tunashiriki,mfano vyakula,ada za watoto,matumizi ya nyumvani kwa ujumla,na hata ujenzi,hayo ya kumtegemea mmoja ni maisha ya kizamani,sasa kama hamsaidiani hakuna haja ya mwanamke kwenda kazini,ila mnahangaika wote ili msaidiane majukumu
Kufuatana na maelezo yako kwa hiyo umekubaliana mwanaume sio ATM
Tabu umekulia kijiji cha Mwamagunguli ya Shinyanga ndio maana huelewi misemo ya kimjini!! bora hata ungekua unatoka hata kisarawe ningekupa likeatm zipo bank bana,mwanaume hawezi kua atm,ukiona mwanamke anamfanya mwanaume atm basi huyo mwanamke hajitambui