The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
What I have to say is private, Let me tell it to you softly..... So that no one else will hear"mi naona afate tu moyo wake mana yy ndio anaenda kuishi naye sio jamii na ndio mana watu wnaaoa wenye heshima then ndio kazi kutoka nje kutafuta sasa kipenda roho mwisho ndio kutuletea thread hapa za ss kukusaidia kuchagua ubaki wapi kwa mke au mmasai
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa loh! unaweza uone dunia chungu alafu hapo majuto yanakua ni kitukuuu mana mjukuu yatakua yashapita huko tayar ww hukushtuka waja shtuka yako ktk stage ya kitukuuuNimependa maoni yako sana, maana muda wa kuangalia jamii siku hizi umeshakwisha aisee, maana at the end of the day mnajifungia wawili, sipati picha kila siku asubuhi maisha yako yote unaamka pembeni ya mtu ambaye humpendi, maana hata utamwona kama jini vile
unanichokoza sio au ndio umeniunga miguu na mikonoWhat I have to say is private, Let me tell it to you softly..... So that no one else will hear"
lol...kwani we uko hapa kuchekeana na kuzoeana na watu??lol
Kweli kabisa mapenzi huwa hayaangalii kabisa,hizi wifey material zinawatokea puani wengi sana, matokeo yake wanaume wanakuwa wanatoka sana nje ya ndoa zao
Mimi mtoto wa mujini; hamna neno nso lijua hata yale ya kwa mfuga mbwa. Sitakwambia nilipoishi (utoto wangu) but nilikuwa kwenye nyumba iliyo isolated (si uswahilini) kiasi kwamba hata mama akituchapa jirani hawezi sikia kelele.
Napenda sana misimimamo ya huyu dada kwani inaendana na kushabihiana na maadili yangu kwa asilimia nyingi sana. Mumewe ana bahati sana.
Caveat: Hiyo ni kama anatenda kama anavyosema hapa.
Kuna rafiki yangu aliolewa ilimradi baasi tukikaa wote company na mumewe hata akiongea hapendi, kwa vile alishaniambia hakumpenda mumewe tangu awali basi namuelewa, akiongea utasikia anakwambia "huyu nae si anyamaze" akinywa pombe hata kama kawaida anamwambia anakunywa kwa fujo, mara hivi mara vile yaani hii mimi siippendi kabisa, haya sasa hapa uliolewa kumfurahisha nani?hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa loh! unaweza uone dunia chungu alafu hapo majuto yanakua ni kitukuuu mana mjukuu yatakua yashapita huko tayar ww hukushtuka waja shtuka yako ktk stage ya kitukuuu
kuna rafiki yangu aliolewa ilimradi baasi tukikaa wote company na mumewe hata akiongea hapendi, kwa vile alishaniambia hakumpenda mumewe tangu awali basi namuelewa, akiongea utasikia anakwambia "huyu nae si anyamaze" akinywa pombe hata kama kawaida anamwambia anakunywa kwa fujo, mara hivi mara vile yaani hii mimi siippendi kabisa, haya sasa hapa uliolewa kumfurahisha nani?
katika maisha mwanaume hutokea ukawa na mtihani wa kufanya maamuzi....
baadhi ya maamuzi yanaweza kukupa heshima au kukuondolea heshima mbela ya jamii...
na tukija kwenye maamuzi kuhusu mapenzi ,ndio kabisaa....wengi wamepata au wamekosa heshima
kwenye macho ya jamii kwa sababu tu ya mapenzi.....
sasa swali hapa ni hili ....upi ni uamuzi wa kiume zaidi......kati ya mambo mawili haya....
1.moja unampenda na umeamua kumuoa mwanamke ambae jamii haimuheshimu sana.labda anaonekana 'malaya'
au anatoka out of your class na kadhalika.....
2.pili...umeamua kumuoa mwanamke mwenye sifa zote ambazo jamii inapenda.....,mzuri,shule ameenda,
ana heshima zote,tabia ni nzuri,kila mtu anakusifia na heshima imeongezeka lakini....'moyo wako haupo kwake kabisaa'
sasa hapo yupi amechukua 'uamuzi wa kiume zaidi'...????
yule anaeoa 'malaya'ambae moyo ndo umempenda.......au anaeoa 'decent one' lakini moyo haupo kabisa
ingawa jamii inafurahia....?????????