Mwanaume ni yule ambaye


The good men are resting in peace as I write this. Six feet under.
 
drama hizo,maisha ya tamthilia za kifilipino mimi ni mwanamke najua sifa ya mwanaume awe analipa bili na maendeleo kwa ujumla, awe na misimamo,na kulee mahali mtoto anatengenezwa apazingatie hiyo yatosha habari za kukandana wakati kuna sehem za masaji,eti akwambie mzuri kama kigezo wakati hicho ni kitu cha yeye kusema kila wakati na asiposema hakuna effect,ndoto za mchana hizo
 
Ni yule ambaye wakati mke/demu wake akiwa kwenye kioo yeye anapiga simu kutafuta dili.
 
mwanaume ni yule anayejua kupiga game, kumrizisha mkewe na kutafuta pesa kwa bidii zote. hizo zingine chachandu tu.
 
Kwenye password hapo tu esp kwenye call logs tu
 

Mwanaume wa hivi utampatia wapi..?! Labda kama ni baba ako aliyezaliwa kabla ya uwepo wa kompyuta na smart phones!!
 
Ni yule ambaye wakati mke/demu wake akiwa kwenye kioo yeye anapiga simu kutafuta dili.

aksante kwa maana fupi Ni kwamba mambo yote kifamilia kesha yaweka saws na anaendelea kuzisaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…