Mwanaume mwenzenu nimekutana nacho

Mwanaume mwenzenu nimekutana nacho

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
488
Reaction score
613
Habari ana JF natumaini mu wazima,

Ipo hivi kipindi cha nyuma Kuna mwanamke niliingia naye kwenye mahusiano japo tulikua tunagombana sana ila kila nilipofanya juhudi kumuacha nilishindwa ilifikia mahali tunakaliana kimya nzima, lakini swala la kuachana hatuachani.

Ivi Sasa ninavyo zungumza niliama mkoa na kwenda kutafta maisha pengine ila ukaribu wangu na wake ukafifia hadi kufikia kutotafutana kabisa.

Changamoto ninayopitia sasa chanel haishiki vizuri yaaninaweza nikawa na mwanamke nikajifos hisia nikizipata tuu hata dakika sitoboi.

Naombeni msaada.
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Ipo hivi kipindi Cha nyuma Kuna mwanamke wakirangi niliingia nae kwenye mahusiano japo tulikua tunagombana sana ila Kila nilipofanya juhud zakumuacha nilishindwa ilifikia mahali tunakaliana kimya wikinzima lakin swala lakuachana hatuachani
Ivi Sasa ninavyo zungumza niliama mkoa nakwenda kutafta maisha pengine ila ukaribu wangu na wake ukafifia Hadi kufikia kutotafutana kabisa.
Changamoto ninayopitia Sasa chanel haishiki vzuri Yan naweza nikawa na mwanamke nikajifos hisia nanikizipata tuu hata dakika sitoboi naombeni msaada
Unaamini katika NRNE
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Ipo hivi kipindi Cha nyuma Kuna mwanamke wakirangi niliingia nae kwenye mahusiano japo tulikua tunagombana sana ila Kila nilipofanya juhud zakumuacha nilishindwa ilifikia mahali tunakaliana kimya wikinzima lakin swala lakuachana hatuachani

Ivi Sasa ninavyo zungumza niliama mkoa nakwenda kutafta maisha pengine ila ukaribu wangu na wake ukafifia Hadi kufikia kutotafutana kabisa.

Changamoto ninayopitia Sasa chanel haishiki vzuri Yan naweza nikawa na mwanamke nikajifos hisia nanikizipata tuu hata dakika sitoboi naombeni msaada
Jichue!
 
Kiroho nyie ni mwili mmoja!hujarogwa hata!!

Kabla hujaanza mahusiano mapya ya kwanza uhusiano wa zamani kiroho!toa sadaka halafu nuiza "huyu simtaki aondoke maishani mwangu Kwa sadaka kiasi kadhaa nilichotoa"

Itachukua muda alakini utakua huru,ilinitokea hiyo hali kipindi fulani,japo yeye alinisaidia alipochepuka akaua muunganiko ule na Mimi ikawa rahisi kutoka!!

Ogopa sana mwanamke akiwa mwaminifu halafu wewe unataka kutoka,aiseh network Huwa inagoma kabisa!!

Fuata utaratibu!!
 
1000438248.jpg
Kijana tatizo lako ngoja kidogo
 
Ulitaka chaneli gani ikamate kwani we komaa tu na hiyo safari TV na TBC ndio za bure, si uliona DSTV ya kazi gani uka disconnect mwenyewe
 
Kiroho nyie ni mwili mmoja!hujarogwa hata!!

Kabla hujaanza mahusiano mapya ya kwanza uhusiano wa zamani kiroho!toa sadaka halafu nuiza "huyu simtaki aondoke maishani mwangu Kwa sadaka kiasi kadhaa nilichotoa"

Itachukua muda alakini utakua huru,ilinitokea hiyo hali kipindi fulani,japo yeye alinisaidia alipochepuka akaua muunganiko ule na Mimi ikawa rahisi kutoka!!

Ogopa sana mwanamke akiwa mwaminifu halafu wewe unataka kutoka,aiseh network Huwa inagoma kabisa!!

Fuata utaratibu!!
Asante hyo sadaka inatolewa kanisani
 
Fanya mambo mengine bana, kwani kuichakata K ni Lazima sana ?
Tafuta mambo mengine ya kufanya yenyefaida zaidi.
 
Habari ana JF natumaini mu wazima,

Ipo hivi kipindi cha nyuma Kuna mwanamke niliingia naye kwenye mahusiano japo tulikua tunagombana sana ila kila nilipofanya juhudi kumuacha nilishindwa ilifikia mahali tunakaliana kimya nzima, lakini swala la kuachana hatuachani.

Ivi Sasa ninavyo zungumza niliama mkoa na kwenda kutafta maisha pengine ila ukaribu wangu na wake ukafifia hadi kufikia kutotafutana kabisa.

Changamoto ninayopitia sasa chanel haishiki vizuri yaaninaweza nikawa na mwanamke nikajifos hisia nikizipata tuu hata dakika sitoboi.

Naombeni msaada.
Mawazo ya X. Avhans naye na futa kabisa kwenye akili yako. This is more of psychological.
 
Acha kuangalia Pornography, Acha kupanda mnazi, Fanya mazoezi (sana sana aerobics), tafuna sana Tangawizi
 
Back
Top Bottom