Mwanaume mwenzangu usioe mwanamke aliyekuzidi uchumi/Hela utanyanyasika na kufa mapema

Shukrani kwa shuhuda zako Kaka
Nakubaliana na wewe 100%. Ni kweli wapo wanaowatii waume wao hata wakiwa na pesa ila ni wachache sana. Mimi nina mfano hai kabisa.
1. Mwanamke akikuzidi pesa, huwa haoni shida hata kuvunja mahusiano. Unaweza kumfungulia biashara lakini ukimuomba hata 10,000 anaweza kukunyima
2. Ukimsomesha mwanamke chuoni halafu wewe unadiploma, na akimaliza anadegree. Hapo ujue ushampoteza
N.B
Mwanamke 100% hupenda kuolewa na mtu anayemzidi pesa na elimu. Mfano mzuri tembelea love connect uone nyuzi za wanawake wenye degree ambao wanatafuta mchumba au mume. Angalia kigezo cha elimu kama utakuta kuanzia diploma kushuka chini.
Wanawake waone hivi hivi humu lakini ukija kwenye uhalisia. Ni wepesi sana kusahau fadhila
 
Hivi kama sisi tunaingilia majukumu yenu kwanini ninyi mnashindwa kuingilia majukumu yetu? Kinachowawia ugumu kusaidia hizo kazi ni kipi haswa kwani mnabadilika jinsia au?

Mbona sisi tunatafuta pesa bila kulalamika kuwa hilo ni jukumu lenu? Sawa basi tufanye wote mnatafuta pesa ila mkeo ndo anafanya kazi za ndani je utamhudumia mkeo kama jukumu lako au ndo nitolee hiyo kwa vile na yeye anatafuta pesa zake?
We lini umeacha kulalamika kuwa kutafuta pesa ni jukumu la mume?๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Nani kalalamika, aliesema hela ya mwanamke ina subwoofer hakuwa mbali na ukweli kabisa. Kiasili mwanamke hajaumbiwa kutoa chochote zaidi ya mtoto tu. Haya mengine ni utandawazi na hali ya maisha tu, ni hekima za mke kusaidia pale inapobidi ila sio lazima.

Mf: Watoto wanaweza soma katika basic schools ila mke akakomalia shule ya gharama ili atambe kwenye vilinge vya mashosti, incase ada ikipelea kidogo unaweza mpiga tough mumeo ili mambo yasikwame. Ni hekima tu na busara maana mtoto ni wenu nyote ila ukiamua pia unaweza kuuchuna tu na kwenda kubandika kucha na mawigi, mtoto arudishwe nyumbani mpaka ada itapopatikana.
Halafu sasa mbona tusipotoa pesa zetu mnalalamika?
 
Hivi kama sisi tunaingilia majukumu yenu kwanini ninyi mnashindwa kuingilia majukumu yetu? Kinachowawia ugumu kusaidia hizo kazi ni kipi haswa kwani mnabadilika jinsia au?

Mbona sisi tunatafuta pesa bila kulalamika kuwa hilo ni jukumu lenu? Sawa basi tufanye wote mnatafuta pesa ila mkeo ndo anafanya kazi za ndani je utamhudumia mkeo kama jukumu lako au ndo nitolee hiyo kwa vile na yeye anatafuta pesa zake?
jukumu lako kama mke ni kupigwa miti na mume na kumhudumia kama baba mjengoni. Hizo akili za kumpigisha deki mumeo acha kabisa, kwenda kazini sio hoja!
 
Baadhi ya wanawake hawajielewi
Hivi unasubirije mume aje kuosha vyombo
Si muweke housegal
Mi tu kuosha vyombo sioshi nkirudi nmechoka sembuse mume
Nyumbani kupumzika babu weee
Muelekezeni mwenzenu huyo anajisahau sana.
 
Kujilinganisha na mwanaume kivipi? Nashukuru nimepata mwanaume ambaye haamini katika tamaduni zetu za kishenzi hizi yeye anaamini katika maandiko matakatifu tu basi sasa kwani maandiko ndo yamesema tuwe sawa?

Mbona hata maandiko yanataka mwanaume ndo amtawale mwanamke lakini hakuna anayeyapinga? Tamaduni zetu zina vitu fulani vya kipumbavu tu ambavyo vinataka mwanamke akubali kuteseka kwenye maisha yake yote ya ndoa ili tu mume wake afurahi ndo ndoa itadumu is that what you want?
Hakuna ndoa iliodumu bila mmoja kati ya mume au mke kuwa fala. Sasa it depends na mume ulie nae kama yeye ndio amejitolea kuwa fala basi maisha yataenda poa tu ila kama hajakubali hio ndoa haitafika hata Ubungo, mtagawana vijiko na masufuria.

Ubaya ni kwamba huo udhaifu kubebwa na mume ni asilimia ndogo sana, wengi tunapenda wanawake submissive ambao wata conform na requirements zetu. Out of 100% i assume only 5% of the population sample ndio wanaume ambao wanaeza kubali kuwa chini ya mke.
 
Usimpe vyombo aoshe wala nini na we usioshe
Tafteni pesa wote ila wewe jipange familia iwe kipaumbele uiangalie na ye mwache ahudumie ili amaintain heshima yake
Pesa yako support tu mfano pamba nyumba yako tena ipambe kwelii ila kujenga mwachie
Ndoani hamna ligi mama
Mama umeiva
 
Wenye pesa waolewe na nani? Acha ubaguzi
Wanawake ni watu wa ajabu sana

Wakishajiona wana vihela vya mboga tu na kuwekea mafuta gari basi wanavimba kichwa na kijiona wapo juu

Ukioa mwanamke aliyekuzidi elimu,kipato na Mali kwa kweli hautakuwa na sauti ndani ya nyumba

Yeye ndio atajifanya kichwa cha familia,ukichelewa kurudi kidogo atachonga sana,atataka simu yako aitawale kila msg na calls inayoingia atataka kujua inatoka kwa nani

Mwanamke atakuchunga kisa tu anajua ana hela na hauwezi kwenda kwa mwingine

Mwisho wa siku stress zinakuzidi unakufa

Sasa bora uoe mwanamke mwenye elimu ndogo,kipato kidogo huyu atakuheshimu na mtaishi ndoa ya furaha,Amani na upendo na utamtawala vyema .
 
Unadai mrudi home mkute hamna msosi mle mawee??

Jikoni hukujui we mwanamke?..
Kupika lazma ukapike mle
Mume kanyoosha mguu kwenye kochi upo nyonyoo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...

Jmn ndani ya ndoa hamna usawa
Tafta miundombinu tu uishi kwa raha
Hahah huyo ndio Edelyn katika ubora wake, anaishi katika dunia ya pekee na kudai mume wake anaishi nae vyema tu kwa style hizo hizo kwakuwa bible anaijua. Sidhani kama biblia ilielekeza mahali kuwa mume anatakiwa awe fala kwa mkewe.

Hivi LadyRed unadhani ni sahihi kumpigisha deki mumeo huoni aibu? Hahah kweli wanaume kazi tunayo aisee. Ati tutakula mawe tu maana wote tunaenda kutafuta, hizi 50/50 zitatuua
 
We hiyo pesa kama umezaliwa nazo sawa ila kama ni za serikali utazitoa tu ziendeshe familia pia...haiwezekani tuna watoto watano halafu unaficha hela
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ baharia hutaki masihara, hakuna kuficha hela hapaaa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… alete zifanye kazi
 
Mkuu hongera sana huyu mwanamke anajielewa sana sana....vipi wivu hana wivu hakujibu vibaya ukiwa na familia kama anakujali katoa nasadaka maana hakunaga wanawake wa hivi tena
Jamaa amepata mke haswa, sio wale vishoia account ikiwa na million 5 tu anataka akugeuze tambara la deki๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Nani kalalamika, aliesema hela ya mwanamke ina subwoofer hakuwa mbali na ukweli kabisa. Kiasili mwanamke hajaumbiwa kutoa chochote zaidi ya mtoto tu. Haya mengine ni utandawazi na hali ya maisha tu, ni hekima za mke kusaidia pale inapobidi ila sio lazima.

Mf: Watoto wanaweza soma katika basic schools ila mke akakomalia shule ya gharama ili atambe kwenye vilinge vya mashosti, incase ada ikipelea kidogo unaweza mpiga tough mumeo ili mambo yasikwame. Ni hekima tu na busara maana mtoto ni wenu nyote ila ukiamua pia unaweza kuuchuna tu na kwenda kubandika kucha na mawigi, mtoto arudishwe nyumbani mpaka ada itapopatikana.
hao watoto kwenye huduma ndo mnakumbukaga kwamba ni wa kwetu sote ila kwenye malezi anakuwaga ni wa mama si eti?
 
Ndiyo ni hoja, hauwezi kufananisha majukumu ya mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani lazima ufanisi utakuwa tofauti ukisema kwamba wako sawa ni sawa na kusema pia mwanaume tajiri na mwanaume masikini wote sawa na wanatakiwa wahudumie familia zao ipasavyo bila kujali kipato chao na bila kusaidiwa na wake zao maana ni jukumu lao kuhudumia familia hiyo imekaaje hapo?
jukumu lako kama mke ni kupigwa miti na mume na kumhudumia kama baba mjengoni. Hizo akili za kumpigisha deki mumeo acha kabisa, kwenda kazini sio hoja!
 
Back
Top Bottom