Mwanaume MACHO, Mwanamke MASIKIO

Malova

JF-Expert Member
Apr 21, 2011
784
228
katika mahusiano ya kimapenzi, wanaume wanatawaliwa na mcho na wanawake wanatawaliwa na masikio. ndio maana hata katika hali ya kawaida anayeanza kutoa neno ni mwanaume na ina kuwa baada ya kuona. mwanamke hata kama akipenda pahala atafanya namna ambayo itamfanya yule anayempenda aanze kusema neno na yeye asikie lile neno tamu.
 
katika mahusiano ya kimapenzi, wanaume wanatawaliwa na mcho na wanawake wanatawaliwa na masikio. ndio maana hata katika hali ya kawaida anayeanza kutoa neno ni mwanaume na ina kuwa baada ya kuona. mwanamke hata kama akipenda pahala atafanya namna ambayo itamfanya yule anayempenda aanze kusema neno na yeye asikie lile neno tamu.

vipi kuhusu mabubu? Hasa mwanaume bubu akikutana na mwanamke kiziwi?
 
mwanamke ni feelings.....zaidi.....

hata matendo ya mtu mwingine yakimpa feelings fulani tu...tayari..

kwenye harusi wengi huopolewa kirahisi,why?
harusi inawapa 'love feelings'....

Kumbe naweza kabisa ku infidelirise kwenye ma wedding ya watu eeh...............ok wacha niongeze juhudi ya kuchangia!
 
katika mahusiano ya kimapenzi, wanaume wanatawaliwa na mcho na wanawake wanatawaliwa na masikio. ndio maana hata katika hali ya kawaida anayeanza kutoa neno ni mwanaume na ina kuwa baada ya kuona. mwanamke hata kama akipenda pahala atafanya namna ambayo itamfanya yule anayempenda aanze kusema neno na yeye asikie lile neno tamu.
Asante mkuu ni kweli kbs dah!
 
Back
Top Bottom