Yes He is.. Ningekuwa Mimi ni huyu Dada , huwa sidhani kama ningekuwa na amani in my heart I would just walk away... Life is too short .. After all mbona wanaume wapo wengi tuu... Pressure zote ni za nini za kujitakia , mmmmhmmh... Ila ndio kila MTU na moyo wake na maisha yake... Thanks...