Wilaya ya hai mkoani Kilimanjaro ni hatari sana, yani suala la mwanaume kula mbata n jambo la kawaida na ukicheza unasukumiwa na ngumi.Yan wadada wakimachame na waogopa kama moto. Sijui wanaum watakimbilia wap Yan kwa machame wake ndoh wanaongoza boma, wanaume hawana saut kabs