siyo hela tu ata papuchi ni mali yake toa hela wewe kama ulikubali kuwa ubavu wake basi na hela ni zake ni sawa na kuzitoa mfuko wa nyuma na kuziweka mfuko wa mbele.Naomba uhalali wa mwanaume kuchukua mshahara wa mke wake kwa nguvu, kuna sheria yoyote juu ya hili?

lazma balance of powers izingatiweNa Kama hanipatii hela ya matumizi!how is that OK ?siyo hela tu ata papuchi ni mali yake toa hela wewe kama ulikubali kuwa ubavu wake basi na hela ni zake ni sawa na kuzitoa mfuko wa nyuma na kuziweka mfuko wa mbele.
Aisee, nitamuacha yeye!Kama hutaki acha kazi - in bongo movie voice
Kuna wanawake wana uzubavu uliopitiliza!Mwenza hapaswi kuchukua chochote bila maridhiano. Halafu amechukuaje wakati unaingia kwenye account yako? Ulimpa paaaword?
Kuna wanawake wana uzubavu uliopitiliza!
Hivi ndoa ya hivyo ya nini kwa mfano. Mpaka swali limeletwa ujue hajafurahia hilo jamboJf ina wanawake wa kila rangi na tabia.. kuna malay* wapo walioachika kwa ujuaji,kiburi yani tabia zote harafu na wale wadangaji wa badoo wapo humu... shauri yako ukitegemea aina ya hao watu wakupe ushauri utavunja ndoa otherwise unless huyo jamaa awe anakutia tu
Kesi kama hii haihitaji kuskiza upande wa pili manake inaonekana dhahiri huyu mleta thread ni mbinafsi...Hivi ndoa ya hivyo ya nini kwa mfano. Mpaka swali limeletwa ujue hajafurahia hilo jambo
Hiyobiashara ambayo yeye haijui!Kesi kama hii haihitaji kuskiza upande wa pili manake inaonekana dhahiri huyu mleta thread ni mbinafsi...
What if mmewe amechukua kwa ajili ya kuongeza mtaji kwenye biashara au kujenga nyumba?...
Huyu hafai kuwa mke ni kidonda cha tumbo hiki kinataka ela kwa ajili ya wigi