Sijui walokole wako je...... kila jambo kwao majibu ni omba sana sali sana toa sadaka.....wana kera wanafikiri kila mtu kama waoKiimani....
Kuna mzigo wa dhambi mkuubwa saana unao, na Mungu anakukumbusha kua utubu.
Omba saana sali sana kwa iman yako ukitubu kwa kulia hutoota tena ndoto hiyo na kemea pia.
Mi sio mlokole...Sijui walokole wako je...... kila jambo kwao majibu ni omba sana sali sana toa sadaka.....wana kera wanafikiri kila mtu kama wao
Aiseee....duh kweli chupa ya majiHiyo ni ndoto tu mkuu kama unavoweza kuota upo na yesu unamzuia asitende maovu
Huo ndiyo uananaume kuwa na kifua!!!!! UbarikiweKaka tumelelewa tofouti sehemu mbalimbali...... kwangu ata mke angu siwezi kumsimlia ndoto kama hiyo naka nayo mpaka nakufa nao.... kwetu mwana ume ni mwana ume tu
Wewe wasema.Na wewe ni miongoni mwao
Habari za asubuhi mabibi na mabwana. Kichwa cha hbr cha husika.
Naombeni msaada, usiku wa kuamkia Leo kuna jambo limenitokea ambalo nashindwa kbsa kulielewa japo sio Mara ya kwanza ni Mara ya pili sasa. Jambo lenyewe liko hivi
Usiku nimeota kuwa nimebeba mimba yaani ni mjamzito tena cha kushangaza kbsa mimba mapacha ilihali mm ni jinsia ya kiume. Hili jambo limenisikitisha kabsa mpka na kukosa usingizi baada ya kushtuka kutoka usingizini
Ndoto hii ilinikuta majira ya saa kumi alfajiri ya kuamkia Leo. Kimsingi ndoto ya aina hii ilishawahi kunitokea mwaka juzi miezi kama hii lakini mwaka huo ndoto haikuwa ya mapacha nilichukulia kama jambo LA kawaida tu kuota lakini Leo limenishtua sana sijui kwa nini. Ikiwa usiku naota niligusa tumbo nikakuta kitu kimetuna ambacho kinacheza, Mara nikajikuata Niko wodi ya wazazi huku hao mapacha wakicheza na wale wamama pale wodin wakasema mimba yangu ni mapacha
Lakini cha kushangaza ni pale wanapocheza wanatoa mikia nje ya tumbo ndipo niliposhtuka na kujiuliza ni viumbe gani hawa ndani ya tumbo langu kama ni watoto wa kawaida inakuwaje wanamikia? Kiukweli niliogopa sana ndipo usingizi ukashtuka kutoka usingizini. Binafsi nahisi sio jambo LA kawaida kwa mwanume kuota ndoto za aina hii. Nahisi ni jambo LA kiiman zaidi
MSAADA. Najua humu jf kuna wajuvi wenge wa haya mambo wenye uwezo wa kutafsiri ndoto wanisaidie na kuniondolea hofu kama kuna jambo linaloendelea pasipo mm kujua mpka sasa nawaza sipata jibu hasa ni kitu gani kinachoashiria ndoto za aina hii hasa kwa jinsia ya kiume ingekuwa wa kike may be ingesound kidgo sasa wa kiume?mmmmmh hapna NAOMBENI MSAADA
Comments za wachangiaji zinatosha kuonyesha kuwa Jf imepoteza credibility, sio Jf ile tena ambayo ilikuwa kisima cha maarifa na ushauri wenye tija! Kwani kuna shida gani mtu ukipita kimya kama hauna ushauri juu ya kilichoulizwa, je ni azima kukoment ujinga ili uonekane upo? Badilikeni wadau ama nendeni huko fb ndio pamejaa jamii ya vilaza. Asante
Kuna kitu kinaitwa aibu za kiume! Yaani jambo ambalo hata kwa kisu huwezi mhadithia mwanaume mwenzako. Unatoa wapi ujasiri wa kueleza ndoto ati una mimba? Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukifikiria! Tuangalie nini tunaandika na mengine si lazima uyalete katika hadhira hii!
Mchango wangu ni kumkumbusha kuwa na kifua! Huoni kwa mwanaume ni mchango maridhawa au ulitaka nimpe mchango wa kubadili jinsia? Unatakiwa na wewe ukomae maana bado upo upoMkuu mleta uzi amefikwa na tatizo ndiyo mana kaleta hapa kupata ushauri, so kuwa na busara na kama huna mchango pita kimya tafadhali
Ni vizri kuwa open upate ushshauri kukaa na tatizo sio suluhishoMchango wangu ni kumkumbusha kuwa na kifua! Huoni kwa mwanaume ni mchango maridhawa au ulitaka nimpe mchango wa kubadili jinsia? Unatakiwa na wewe ukomae maana bado upo upo
Kwani nini maana ya privacy ya jf, unajua inafanya vipi kazi.Kuna kitu kinaitwa aibu za kiume! Yaani jambo ambalo hata kwa kisu huwezi mhadithia mwanaume mwenzako. Unatoa wapi ujasiri wa kueleza ndoto ati una mimba? Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukifikiria! Tuangalie nini tunaandika na mengine si lazima uyalete katika hadhira hii!
Hayo yako! Kwa mvulana Sawa siyo kwa mwanaumeNi vizri kuwa open upate ushshauri kukaa na tatizo sio suluhisho
Sijui nifundishe mkuu wa wakuuKwani nini maana ya privacy ya jf, unajua inafanya vipi kazi.
😀.Nenda kapime inaweza kuwa ni kweli