Mwanaume kila kitu ufanyacho jiweke wewe kwanza!!!

Mwanaume kila kitu ufanyacho jiweke wewe kwanza!!!

Mkuu tùkutafutie mke kutoka tarime au katavi
Man, wish ungemuona
Yaani anavyo jitingisha jinsi nyuma alivyo shona
Yo, Singida
(Dodoma)
Yeah, mtoto amenona
Na anavyotetemesha zaidi hata ya transformer
 
Man, wish ungemuona
Yaani anavyo jitingisha jinsi nyuma alivyo shona
Yo, Singida
(Dodoma)
Yeah, mtoto amenona
Na anavyotetemesha zaidi hata ya transformer
Dodoma ndo unapendelea wagogo safi
 
Dodoma ndo unapendelea wagogo safi
Kwa jina ni Irene, huyu bonge la queen
Mtoto wa ku-shine kwenye cover ya magazine
Age yake ni kama 20, no ’19? yes
You can tell by the pretty face
Ana figure ya ki-Bantu, huyu mtoto balaa
Jinsi alivyo jaa, jaa na anavyo ng'aa, ng'aa
Ana rangi ya pekee, na anajua kuvaa
Maswali mengi najiuliza juu ya huyu mama
Kama’ wapi amepata hili bonge la smile, man
(She got it from her momma)
 
Kwa jina ni Irene, huyu bonge la queen
Mtoto wa ku-shine kwenye cover ya magazine
Age yake ni kama 20, no ’19? yes
You can tell by the pretty face
Ana figure ya ki-Bantu, huyu mtoto balaa
Jinsi alivyo jaa, jaa na anavyo ng'aa, ng'aa
Ana rangi ya pekee, na anajua kuvaa
Maswali mengi najiuliza juu ya huyu mama
Kama’ wapi amepata hili bonge la smile, man
(She got it from her momma)
😀😀 kwisha habari yako
 
Guys there is no any excuse linapokuja swala la kujipendelea a k.a kujijali.Hakuna sababu yoyote ile ya kukufanya ushindwe kuenjoy maisha.Sio mwanamke sio watoto wako wa kuwazaa mwenyewe.

Be selfish at your best.Acheni kitia huruma kipumbavu.Tafuta hela ila usiache kujishukuru mwenyewe kwa kile unachokipenda.

Watu wengine lazima watambue jasho lako ni lako.Wao watafuata baada ya wewe kuenjoy kwanza.

📌🔨Maisha ndiyo haya haya acheni kulialia kwa ujinga wenu wenyewe.Take it or leave it.Gademit!!!!

Mwanaume unatakiwa ujipende,ujiendeleze kielimu,tunza afya yako,vaa vizuri,jifunze stadi mbalimbali.Kuwa bora siku hadi siku.

Uwekezaji bora huanza na wewe Hakuna ueekezaji sijui kwa mtoto au mke.Wenzako matahira walijaribu wakala K.O.

"stay single even in a relationship or marriage"
Rahia washabadilisha Uzi , wamefanya uwe uzi wakutuma picha za pisikali.
 
😀😀 kwisha habari yako
Yeah, like Juvenile
Ila mi nadata na hizo two big tings
Vipi naweza penya ndani ya hiyo G-string, chini ya hiyo bra
Na hiyo tight blue jeans
Ntakupa hata vumba, nipangishe please
Sitolipa kodi ya mwaka bali kodi ya maisha
Nadhani ushanifahamu, nini ninacho maanisha (No)
Nataka kukuoa (True)
Yeah, you uko juu, baby beau
Yaani unapo ongea (Uh-Huh)
Mi roho, roho juu 'ila zaidi ukitembea huwa ndio balaa tu
 
Guys there is no any excuse linapokuja swala la kujipendelea a k.a kujijali.Hakuna sababu yoyote ile ya kukufanya ushindwe kuenjoy maisha.Sio mwanamke sio watoto wako wa kuwazaa mwenyewe.

Be selfish at your best.Acheni kitia huruma kipumbavu.Tafuta hela ila usiache kujishukuru mwenyewe kwa kile unachokipenda.

Watu wengine lazima watambue jasho lako ni lako.Wao watafuata baada ya wewe kuenjoy kwanza.

📌🔨Maisha ndiyo haya haya acheni kulialia kwa ujinga wenu wenyewe.Take it or leave it.Gademit!!!!

Mwanaume unatakiwa ujipende,ujiendeleze kielimu,tunza afya yako,vaa vizuri,jifunze stadi mbalimbali.Kuwa bora siku hadi siku.

Uwekezaji bora huanza na wewe Hakuna ueekezaji sijui kwa mtoto au mke.Wenzako matahira walijaribu wakala K.O.

"stay single even in a relationship or marriage"
Umeongea point kubwa sana kuna lingese nililijali liliugua nikalipeleka hospital mpaka dawa nilinunua ila lilichofanya likaniblock na kusema niache mazoea
 
Back
Top Bottom