Mwanaume katika ubora wangu

mkuu izo mbegu za tikiti ni kiboko maana nikila tikiti nakula na mbegu

nikimwaga sasa kamasi la mtoto wa kijijini si unajua walivyokuwa na afya

yaan uku natoa mawaziri, maraisi wakina bashite ndo usiseme
Ila ww jamaa unacchekesha sana, yaan comments zako zinafurahisha sana
 
Ndio unagundua fursa now wakat umeshatoa njia ya kutengeneza dawa. Ungeweka tangazo kama tangazo tu ohoooo!!!
Siyo mbaya mkuu
Nilikua natoa tu somo
 
Kwel mkuu hata mm nimejfunza mengi sana hapa jf gharama yangu ikiwa ni bando tu
Yaaah mpaka saa ubongo umeshiba vtu kutokana na nondo za humu. Ila ahsante kwa elimu pia naww mkuu japo kuna vimburu wanasema Mm na ww ni mtu mmoja Id tofauti
 
Yaaah mpaka saa ubongo umeshiba vtu kutokana na nondo za humu. Ila ahsante kwa elimu pia naww mkuu japo kuna vimburu wanasema Mm na ww ni mtu mmoja Id tofauti
 
umesahau inaongeza nguvu za kiume ungeona vyenye tangawizi zingeanza adimikaa gafla tu bin vuuuuu
 

Mbegu za mlonge hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…