Mwanaume kama mwanamke

Ngoja niende love conect nikaanzishe siredi ya kutafuta jimama lenye hela!!
 
nahoji hekima ya dada kukaa na mwanaume wa kijiweni! labda s.e.x ni nzuri kiasi cha kuweza kumvumilia au kuna jambo jingine nisilojua?

usiposaidia ndugu zako kisa mpenzi kakwambia basi unahitaji kumuona daktari
 
Hehehehe unachekesha kweli wewe, mbona sisi wanaume tunaumizwa sana hilo swala la kutokusaidia ndugu?
Unakuta ndugu wa mwanaume akija nyumbani basi mke anavuta mdomo na madongo ya kichini chini, lakini yeye ndugu zake miguu juuu kwenye sofa na mastory na vicheko kibao. mme ndugu wakija yeye anashinda chumbani au anaenda kwa shoga zake.
Swala la mapenzi ni makubaliano ya wawili, tena bora anayemchukua wa kijiweni kuliko yule anaetumia DILDO, viungo bandia vya kiume kujiridhisha. Au kusagana.
Kwa hili naona haujafikiria, jaribu kufanya uchunguzi tena.
 
wanaume wa siku hizi wanapendwa kulelewa.....

Ila mwanamke anayekopa hela anampa 'boifrendi' loh..........pole yake sana ni kuwa yupo desparate au ni nini?

si ndio hivyo kuna wanaume kupendwa kweli na kuna wanaume ATM...so inabidi kama mwanamke awezi kupata mmoja mwenye hizo mbili basi anaamua kua na wawili
 
Hivi jamani inakuwaje sikuhizi vijana wengi kupenda mabinti walioajiriwa? Mara nyingi vijana hawa shule ni ndogo na wanawadanganyika mabinti kuwa wanafanya na kumiliki biashara kubwa zinazowaingizia kipato wakati sio kweli. Muda mwinigi hushinda kijiweni. wakisha wapata mabinti hao basi wao ni kula kulala. binti aende kazini yeye yupo tu nyumbani. tabia mabay walionayo ni ku-divert namba za simu za wapenzi wao ili wafahmu wameongea nani siku, wanaiba PASSWORD za email za wapenzi wao, na PIN namba za ATM. wanawashawishi waombe mikopo kwenye mabenki ili wafanye biashara, lakini fedha hiyo huishia kufanyia starehe. Kama hiyo haitoshi wanawazuia wapenzi wao kutosaidia ndugu zao hata wadogo zao utadhani pesa ni zao au wao ndio waliwasomesha. matokeo yake ni mabintihawa kuishi maisha ya utumwa wa mapenzi kwa kuwatumikia manaume/ au wapenzi wao.hivi huu kweli ni uungwana?


1 - kwa maelezo yako ... inaonekana hao wanawake unaosema wamesoma watakuwa na upeo mdogo wa akili kuliko hao vijana wenye elimu ndogo wanaoshinda vijiweni.

2 - kama mmewapenda kwa udhaifu walionao (kukosa elimu na kazi nzuri za kufanya), nafkiri ingekuwa vyema mngekaa nao chini na kjaribu kuwasaidia kuwawezesha na kuwaweka katika mazingira mazuri mnayotaka, kwani vijana wakiwa kwenye hali hiyo wengi huathiriwa na makundi na kukosa muongozo bora katika maisha.. msikate tamaa, mapenzi yanahitaji uvumilivu.

3 - wenyewe si mnasema siku hizi haki sawa na maisha ni kusaidiana??? mbona hayo wanayofanya hao vijana wanaume huwa tunayavumilia sana kwa wanawake wenye mazingira kama hayo???

4 - ukiona mtu, kitu, sehemu haikufai, huipendi tena na huendani nayo au haiendani na unavyotaka... achaneni nao, mtafute your types.
 
Hehehehe unachekesha kweli wewe, mbona sisi wanaume tunaumizwa sana hilo swala la kutokusaidia ndugu?
Unakuta ndugu wa mwanaume akija nyumbani basi mke anavuta mdomo na madongo ya kichini chini, lakini yeye ndugu zake miguu juuu kwenye sofa na mastory na vicheko kibao. mme ndugu wakija yeye anashinda chumbani au anaenda kwa shoga zake.
Swala la mapenzi ni makubaliano ya wawili, tena bora anayemchukua wa kijiweni kuliko yule anaetumia DILDO, viungo bandia vya kiume kujiridhisha. Au kusagana.
Kwa hili naona haujafikiria, jaribu kufanya uchunguzi tena.

Hii haihusiani chochote na hii topic
 
Back
Top Bottom