miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,465
- 8,277
Hivi vilio vyote vya wanaume kulia na wanawake ni matokeo ya kukiuka hayo niliyo yaorodhesha .
Mwanaume ukiishi katika ndoto zako hakuna mwanamke atakae kuumiza walio wengi watakusumbua tu na sio kukuumiza. Kwa sababu muda mwingi akili zako na maono yako yatakua katika ndoto zako.
Mwanaume ukiweza kuishi katika malengo yako na kuyasimamia niamini Mimi hakuna mwanamke atakae kuumiza zaidi ya kuwaona ni wa kawaida Sana na ni kakundi ka wajinga flani hivi wasio na muelekeo hivyo kwako ni kuwaendesha vile utakavyo
Mwanaume ishi kwenye plani zako...kwenye plani hapa ni poja na kupangua plani moja Hadi nyingine Hadi ushindi upatikane.
Haya maujinga yote wanayo wafanyia wanawake ni matokeo ya kukosa hayo na vipaombele .
Mwanaume jipambanie jijue kabisa maishani mwako unataka watoto wangapi na kwa mama wangapi na wataelewa wapi...! Iwe kwa uwepo wa mama yao au bila ya mama yao .
Mwanaume kuwa na hobby itakayo kufanya u refresh na katika hobby hiyo hakikisha wewe mwenyewe ndio chanzo Cha furaha yako ....mfano Mimi binafsi Nina kundi la refreshment na Mara nyingi huwa tunafanya tour maeneo Yale yasio na gharama kabisa na Mara nyingi tunatumia baiskeli na tukifika huko ni kula na kunywa tukiwa boys tu na hamuwezi amini tunaweza poteza hata masaa 72 isijitokeze hata stori ya mwanamke au mademu na kifupi ikifika siku ya kwenda tour sisikilizi la yoyote awe mke au Nani ilimradi Nina afya lazima nifanye .
Ila wanaume wengi mmwacha vitu Kama hivi kwa kisingizio mmekua lkn ni ujinga mtupu cos nyie ni mateka wa wanawake wenu kwa kisingizio Cha kukua.
Wanaume amkeni....ishini maisha yenu muifurahie dunia...dunia ni tamu hii....hao wanawake ni special group yaani ni kundi la watu wenye mahitaji maalumu ..liwepo lisiwepo poa tu....mbona Adam kabla ya kuletewa Hawa alifurahi tu ....
Mwanaume ukiishi katika ndoto zako hakuna mwanamke atakae kuumiza walio wengi watakusumbua tu na sio kukuumiza. Kwa sababu muda mwingi akili zako na maono yako yatakua katika ndoto zako.
Mwanaume ukiweza kuishi katika malengo yako na kuyasimamia niamini Mimi hakuna mwanamke atakae kuumiza zaidi ya kuwaona ni wa kawaida Sana na ni kakundi ka wajinga flani hivi wasio na muelekeo hivyo kwako ni kuwaendesha vile utakavyo
Mwanaume ishi kwenye plani zako...kwenye plani hapa ni poja na kupangua plani moja Hadi nyingine Hadi ushindi upatikane.
Haya maujinga yote wanayo wafanyia wanawake ni matokeo ya kukosa hayo na vipaombele .
Mwanaume jipambanie jijue kabisa maishani mwako unataka watoto wangapi na kwa mama wangapi na wataelewa wapi...! Iwe kwa uwepo wa mama yao au bila ya mama yao .
Mwanaume kuwa na hobby itakayo kufanya u refresh na katika hobby hiyo hakikisha wewe mwenyewe ndio chanzo Cha furaha yako ....mfano Mimi binafsi Nina kundi la refreshment na Mara nyingi huwa tunafanya tour maeneo Yale yasio na gharama kabisa na Mara nyingi tunatumia baiskeli na tukifika huko ni kula na kunywa tukiwa boys tu na hamuwezi amini tunaweza poteza hata masaa 72 isijitokeze hata stori ya mwanamke au mademu na kifupi ikifika siku ya kwenda tour sisikilizi la yoyote awe mke au Nani ilimradi Nina afya lazima nifanye .
Ila wanaume wengi mmwacha vitu Kama hivi kwa kisingizio mmekua lkn ni ujinga mtupu cos nyie ni mateka wa wanawake wenu kwa kisingizio Cha kukua.
Wanaume amkeni....ishini maisha yenu muifurahie dunia...dunia ni tamu hii....hao wanawake ni special group yaani ni kundi la watu wenye mahitaji maalumu ..liwepo lisiwepo poa tu....mbona Adam kabla ya kuletewa Hawa alifurahi tu ....