Hivi kwa nini unakata tamaa namna hii.kama wewe ni mrokole mbona wako watumishi wa Mungu wanaweza kukusaidia njia uliyotumia kama kweli umemwamini Yesu si nzuri na kwanini umtafute mwanaume asiye zaa au umeamua kuandika tu kuwafurahisha watuSifa
- Si zaidi ya miaka 40
- Mkristo, mlokole atapewa kipaumbele
- Awe na kipato halali, anajitegemea.
- Elimu si chini ya form 4
Mimi sina uwezo wa kuzaa na nimejiajiri.
Karibu tufarijiane!
Kwa alieserious anifuate PM
AminaUnahitaji mlokole, inaonekana umeokoka. Kama umeokoka usikate tamaa na kusema huwezi kuzaa. Yote yawezekana kwake yeye aaminiye, imani yako itakuponya.