Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,154
Nilipompata nilisema nimepata, huyu mwanaume tuliishi vizuri ghafla akaanza kuwa busy.
Katika kubembeleza nijue kulikoni nilinunua khanga na vitenge viende kwa mama yake kama zawadi ya sikukuu. Hiyo ndiyo siku alipofunguka kuwa haina haja kwani hatutakaa tuoane. Nililia, Sikuu ilikuwa chungu sana.
Haya yalitokea akiwa ameshanifungulia duka. Nililiongeza lile duka upande mmoja umekuwa mgahawa na upande wa pili ni grocery.
Sasa huyu mwanaume anataka tuongee, huyu aliyesema hatanioa. Sijui yemkuta makubwa gani huko alikokwenda.
Katika kubembeleza nijue kulikoni nilinunua khanga na vitenge viende kwa mama yake kama zawadi ya sikukuu. Hiyo ndiyo siku alipofunguka kuwa haina haja kwani hatutakaa tuoane. Nililia, Sikuu ilikuwa chungu sana.
Haya yalitokea akiwa ameshanifungulia duka. Nililiongeza lile duka upande mmoja umekuwa mgahawa na upande wa pili ni grocery.
Sasa huyu mwanaume anataka tuongee, huyu aliyesema hatanioa. Sijui yemkuta makubwa gani huko alikokwenda.