Mwanaume akilalamika Ujue Anajali

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,473
Reaction score
4,007
Mwanaume akilalamika Ujue Anajali,Mwanaume akichukia ujue alikuamini,Mwanaune akikuuliza jambo ujue anajaribu kupata ukweli.

Mwanaume akinyamaza na kuacha mambo yaende ujue Amakata Tamaa na Kama Hafanyi chochote kati ya Hayo TAMBUA UMEPOTEZA MWANAUME MZURI SANA KWENYE MAISHA YAKO.
 
Mfano mzuri Samson alivyompenda Delilah..
 
surprisingly wanaume ambao wanafanya kinyume na haya uliyoyaandika ndio wanaopendwa na kuheshimiwa na wanawake!

Hivyo hili bandiko lako ni la kipotoshaji
 
Kulalamika, kuchukia na kujali vyote ni ubatili tu "mambo yakienda kombo yaeche usiendenayo"
 
Hii kitu nimeiona twitter sasa sijui nani kachukua kwa mwenzake

Ujumbe mzuri though
 
wale wote wasiolalamika na kuuliza uliza tunajua wana njia mbili kuu na ya pembeni otherwise lazima wajali
 
Hii kitu nimeiona twitter sasa sijui nani kachukua kwa mwenzake

Ujumbe mzuri though
Huyu ndo kaiiba Twitter... Hayo maneno yana kama siku mbili hivi huko Twitter.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…