Kweli kabisa ndugu.Huyu ni mbunge wa maana sana kwa nchi hii yenye wabunge wanaojikomba kwa vyama vyao. Hussein Bashe anatetea maendeleo ya nchi na si ya chama chake.
Kama kungekua na tuzo ya mwanasiasa bora wa week basi bilashaka Hussein Bashe alipaswa apewe.
[HASHTAG]#GoldenPeople[/HASHTAG]
Huyu anawakilisha vizuri sana hilo jina
Kama kungekua na tuzo ya mwanasiasa bora wa week basi bilashaka Hussein Bashe alipaswa apewe.
[HASHTAG]#GoldenPeople[/HASHTAG]
2020 harudi lazima Bashite atalala naye.Kweli kabisa ndugu.Huyu ni mbunge wa maana sana kwa nchi hii yenye wabunge wanaojikomba kwa vyama vyao. Hussein Bashe anatetea maendeleo ya nchi na si ya chama chake.
CCM mazwazwa hamuwezi kumkubali basheMnafiki huyu. Kama kungekuwa na adhabu ya kupewa mtu anayeongea uongo bungeni basi huyu angepewa
Na wewe unalipwa buku 7 au imepanda??Mnafiki tu huyu, hana kitu kichwani huyu. Anachambua vitu kwa chuki. Yeye akae asubiri kulipwa posho. Na kibaya nyeupe alilamba hela yake sijui 2020 atatoa wapi hela ya kampeni
bashe haihitaji hela kufanya kampeni nzega.Mnafiki tu huyu, hana kitu kichwani huyu. Anachambua vitu kwa chuki. Yeye akae asubiri kulipwa posho. Na kibaya nyeupe alilamba hela yake sijui 2020 atatoa wapi hela ya kampeni
bashe haihitaji hela kufanya kampeni nzega.Mnafiki tu huyu, hana kitu kichwani huyu. Anachambua vitu kwa chuki. Yeye akae asubiri kulipwa posho. Na kibaya nyeupe alilamba hela yake sijui 2020 atatoa wapi hela ya kampeni
Pathetic!Mnafiki tu huyu, hana kitu kichwani huyu. Anachambua vitu kwa chuki. Yeye akae asubiri kulipwa posho. Na kibaya nyeupe alilamba hela yake sijui 2020 atatoa wapi hela ya kampeni
Nani mwingine unamchukia kwa kuongea broken English?Huyu jamaa huwa ananikera kutaka kuonyesha kuwa ni msomi kwa kutamka maneno ya Kiingereza ambayo ni broken tupu.
Yohana mbatizajiNani mwingine unamchukia kwa kuongea broken English?
Wewe unajua nini "na upo dunia gani?Huyu jamaa huwa ananikera kutaka kuonyesha kuwa ni msomi kwa kutamka maneno ya Kiingereza ambayo ni broken tupu.
Mnafiki tu huyu, hana kitu kichwani huyu. Anachambua vitu kwa chuki. Yeye akae asubiri kulipwa posho. Na kibaya nyeupe alilamba hela yake sijui 2020 atatoa wapi hela ya kampeni
Mzumbe ndio nini acha fikra za kitotoMzumbe mnatendewa haki hapa
Inabidi wajivunie