mdada mkiwa
Member
- Oct 9, 2018
- 44
- 63
Thanks Jesus all is well
Kesi gani mimi nikusaidie
Kesi ya madaiKesi gani mimi nikusaidie
Ngoja niongee naeKama unaweza msaidie mkuu tafadhali.
Nina rafiki yangu yupo moshi ni mwanasheria... wacha nimfikishie tarifa akikubari nitakupa namba yakeKesi ya madai
GoodNina rafiki yangu yupo moshi ni mwanasheria... wacha nimfikishie tarifa akikubari nitakupa namba yake

Lugha yenyewe unayotumia haina hata chembe ya unyenyekevu