Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Hakika Nimemkubali sana baada ya kmwona EATv akitetea kutochachuliwa kwa kanuni hali iliyolazimisha Bunge kuahirishwa. Ameainisha makosa lukuki. kwani wanasheria wengine hawapo??
Naomba apewe Ulinze hadi hapo vikao vitakapoisha.
Mungu mpe mja wako TL ulinzi. Maadui zake washindwe na walegee.
tundu lissu ni mgonjwa wangu wa akili by dk hamis kigwangala
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Wewe ndio huna jipya kama jina lako lilivyo
Kwani bunge limeahirishwa kwa sababu ya Lissu? Acheni kujidanganya.
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Yaani akili zako kama jina lako lilivyo sehemu ya kuhifadhia kinyesi.
Acha ushabiki maandazi ww kila post we unajitoa ufahamu,kwa shilingi ngapi?
Busara za sitta ndio zimepelekea yeye kuahirisha bunge, na sio porojo za Lissu.