Hakika Nimemkubali sana baada ya kmwona EATv akitetea kutochachuliwa kwa kanuni hali iliyolazimisha Bunge kuahirishwa. Ameainisha makosa lukuki. kwani wanasheria wengine hawapo??
Naomba apewe Ulinze hadi hapo vikao vitakapoisha.
Mungu mpe mja wako TL ulinzi. Maadui zake washindwe na walegee.