kama heading inavosema,nilipenda kumjua uyu bwana jebra kambore kwa undani kama mwanasheria.Nilipenda kujua nilipi haswa ameishalifanya kama mwanasheria ambalo lilimfanya yeye kuwa maarufu sana na watu kumkubali sana
ASANTENI!
Mtetezi wa max melo... Ktk kesi inayo mkabili... Mtetezi wa Roma mktoriki na watu wengi maarufu na wasio maarufu... Ukitaka mawasiliano mcheki melo atakusaidia... Na atakujuza mengi kumuusu jebra...
Mtetezi wa max melo... Ktk kesi inayo mkabili... Mtetezi wa Roma mktoriki na watu wengi maarufu na wasio maarufu... Ukitaka mawasiliano mcheki melo atakusaidia... Na atakujuza mengi kumuusu jebra...