Mwanasheria mkuu amepotoka

Werema anafikiri ataonekana tofauti zaidi ya kuonekana mshabiki tu wa rais. Yeye anataka asimwuzi rais kabisa hata kama hiyo ni kinyume na maadili ya kazi yake. Kwa maana nyingine hana msimamo wake binafsi ni bendera fuata upepo. Naomba mjue wanasheria wengi ni wa serikali na siyo wa wananchi kwa hiyo atafuata matakwa ya aliyemchagua hata kama itamgharimu kudhalilisha fani yake kama werema
 
Aisee huyu mzee niliwahi kufanya nae kazi kweli anadharau sana...!

Ni mtu wa amri, ukali na sio friendly kabisa kabisa. He is typical Mkurya na ana tabia ya kujivuna sana kwa kuona wengine hawaweza kazi kabisa...! Lets wait and see him, this is just the beginning of his weird answers...!

Kweli ameonyesha maana toka ameanza hiyo kazi imekuwa kazi kweli kweli. Tutakoma!
 
Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja.
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?

Nafikiri Jaji Werema ana tatizo kubwa la mawasiliano. Alitakiwa apewe mafunzo kidogo kumwelekeza jinsi ya kutoa maoni au majibu ya kistaarabu kwa hoja kubwa za kitaifa. Aidha ajue nafasi yake si ya kutoa hukumu (kama jaji mahakamani) bali ufafanuzi wa kisheria unaoambatana na mwelekeo wa nchi kisiasa. Aidha, jeuri ya "supremacy" ya CCM asiiendekeze sana. Inawezekana kabisa mtazamo wake kuhusu katiba hauna tofauti na wa baadhi ya wanaodai "katiba mpya" lakini zile chembe za jeuri na kejeli katika kauli zake zinamfanya aonekane yuko nje ya wakati. He needs to improve his tone and style of communicating his views to the public lest he ends up being misunderstood as an empty box - only too eager to please his boss.
 
Nafikiri Jaji Werema ana tatizo la kubwa mawasiliano. Alitakiwa apewe mafunzo kidogo kumwelekeza jinsi ya kutoa maoni au majibu ya kistaarabu kwa hoja kubwa za kitaifa. Aidha ajue nafasi yake si ya kutoa hukumu (kama jaji mahakamani) bali ufafanuzi wa kisheria unaoambatana na mwelekeo wa nchi kisiasa. Aidha, jeuri ya "supremacy" ya CCM asiiendekeze sana. Inawezekana kabisa mtazamo wake kuhusu katiba hauna tofauti na wa baadhi ya wanaodai "katiba mpya" lakini zile chembe za jeuri na kejeli katika kauli zake zinamfanya aonekane yuko nje ya wakati. He needs to improve his tone and style of communicating his views to the public lest he ends up being misunderstood as an empty box - only eager to please his boss.

Mkuu, kwani Ngurdoto si alishaenda, au mafunzo gani tena-mp....zi tu huyu
 
Hesabu : Mramba +Werema +........+......+Makamba=Wametupeleka babaya wakae kujibu hoja za kebei hizi wasidhani naye JK anapendezwa na uchochezi wao
 
Hesabu : Mramba +Werema +........+......+Makamba=Wametupeleka babaya wakae kujibu hoja za kebei hizi wasidhani naye JK anapendezwa na uchochezi wao

Kuna njia rahisi tu ya kujua kama Werema is smart or not na kama ana merit kujadiliwa hapa. I just realized kuwa he is not simply kwa kuwa kwa kujenga hoja yake ya kuweka viraka kwenye hii katiba ya Tanzania iliyoandikwa na mkoloni ametolea mfano wa nchi mbili duniani zinazosifika kwa demokrasia, Marekani na India. Yaani anataka kuifananisha TZ na hayo mataifa, bila kuangalia katiba ya awali ya US iliandikwaje na je inakidhi nini na kama ameshasikia wananchi wa US wakililia kuhusu katiba yao kuwa mbovu? au India. Kwa nini asingetolea mfano Kenya, Uganda, Burundi Rwanda etc? So with that simple resoning nimeona kuwa amesukumwa zaidi na maslahi yake binafsi kuliko uzito wa hoja yenyewe. Angekuwa smart asingetoa kauli yoyote, it just made him kuwa kama Celina Kombani, and it is just too sad kwa Judge kuwa katika kapu la Kombani
 
Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja.
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?

Wana JF,

Warema alitoa tungo tata lakini navyo jua alizunguka mbuyu ule ule kuwa katiba inaitaji kubadirishwa tuu hata kama unachukua maoni kwa watu ndio katiba mpya tuu halina ubishi hilo ni warema alitaka kujikinga mwamvuri fulani tuu hapo, Huyo Warema nae ni bendera fuata upepo kwa elimu yake hawezi akaongea tungo Tata hajiamini nadhani.

Wajua Warema anapo uliza katiba mpya ya nini nami aniambie hiyo katiba ya sasa ya nini kama haoni umuhimu wa katiba basi hata katiba iliyopo sasa haoni umuhimu wake pia, Kiongozi mkuu kama yeye anapofika na kuongea tuuu au kuropoka na wanasheria wengine walikuwepo nadhani anaupungufu fulani kichwani kwake kikwetu huko msoma twasema "kakurura amajaga" na inampeleka kubaya kabisa. Yaani huyo warema hajuai hiyo katiba ikishikwa na Rais kichaaaa ndio atatuburuza mpaka tukome kwani inampa rais madaraka makubwa kuliko.

Kama mwanasheria yuko IKULU na anaongea pumba mwategemea maamuzi mengine huko IKULU yatatoka ya msimamo kweli? si mumeona maamuzi ya DOWANS na amemaliazia kwa mkwala sasa mjadala umefungwa jamani huu ni upuuzi mtu hapo IKULU kume kuwa na genge la wahuni tuuu na ndio maana hii katiba wanaifanyia matimbwiri timbwiri yao watakavyo. Yaani siku machafuko yakitokea Warema The Hague inakuhusu na wengine wenu wa aina hiyo

 
ndio alivyoambiwa na bosi wake aliyempa kazi aseme hivyo. hayo ndio madhara ya kuteuana kwa kujuana kwamba unafanya kazi kwa mujibu wa aliyekupachika kwenye hiyo nafasi na sio kwa utashi na kwa manufaa ya jamii, hilo ni jambo la kawaida sana na sikutegemea kama angekuja na views tofauti na za bosi wake, unless bosi wake amu instruct otherwise. tumeona hayo hata kwa waziri wa sheri anae alikurupuka tu kutoka huko alikokuwa (sijui alimezeshwa maneno ya kusema) na kuja kuongea vepa. hiyo inathibitisha upungufu uliopo ndani ya katiba ya sasa, kwamba inatoa rooms nyingi sana za raisi kupachika jamaa zake kwenye system ambao watakuwa wanafanya kazi kulingana na raisi anavotaka na hiyo ni mbaya hasa ukikuta uwezo wa rais ni mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo. katiba mpya ijikite kwenye kudhibiti madaraka ya rais katika nchi pia
 
mwanasheria mkuu yupo SAWA. Kwa nchi masikini kama hii hatuhitaji mabadiliko ya KATIBA. Kinachotakiwa ni utendaji kazi.
 
Werema ametutia aibu sana wakurya. sijaona mkurya mpuuzi kama huyu.najuta.
Nasikia watu wa kule wanakula sana lile jani la Bob Marley! watu wa Iringa wao ni kiungo lakini jamaa wao wana kula, pengine Muheshimiwa ana kibustani nyuma ya nyumba yake!
 
Unafikiri kupotoka ni kiburi tu na ubabe lakini atakapotaka kustaafu arudi uraiani utamsikia akisema katiba mpya ni lazima. Hajaijua nguvu ya umma huyu mzee CUF wameanza leo Dar na kuwapiga virungu, asubiri maandamano CDM na TUCTA ndipo atakaporekebisha kauli zake zisizo busara.


Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja.
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?
 
Kwa hiyo Kawaita Pinda, Agustino Ramadhani, Mkapa, Slaa, Mnyika, Warioba n.k kuwa ni Mabata kwanini kikwete asimfukuze kazi?
Mkuu ! tuliambiwa tule nyasi na tukakubali, sembuse hii midomo ya Bata !
 
Hamna mtu huyu jamaa madudu tupu ndio chaguo la mkuu wa kaya ,sasa tusubiri madudu mengine mengi
 
Napinga kwa nguvu zangu zote kauli yake ya jeuri ya kujifanya yeye anaweza akawa mzungumzaji wa wanachi milioni 43,amesema hakuna sababu ya kuwa na katiba mpya hihi inatosha ila mambo yasiyohitajika yataondolewa na kuwekwa hayo mapya,kwa maana nyingine alikuwa anathibitisha msimamo wa serikali kwamba wao wataweka vipengele kwenye katiba wanavyoona vinawanufaisha wao,vinginevyo kwamba mbio za wanaotaka kuandikwa upya kwa katiba ni za sakafuni na kwa maana hiyo anatahadharisha watu,vikundi,taasisi na hata vyama vya kisiasa na visvyo vya kiserikali kwamba juhudi zetu zote ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu ,nadhani watanzania tumefika wakati ambao tunataka serikali hii kuifundisha adabu kwa kuwaeleza ukweli kwamba kamwe hawawezi kuwa juu ya nguvu ya umma,na kutupangia kila kitu na kutulisha kama vile sisi wenyewe hatuna mikono yetu ya kuchakua na kula chakula chetu wenyewe Katiba MPya ni lazima watake wasitake
 
Kiraia,
Amfukuze? Unajuaje kama ndio kamtima? Safari hii, kitaeleweka. Katiba siyo ya Mwanasheria Mkuu ni ya Watanzania, Mwanasheria Mkuu ni Mshauri tu wa Serikali na si mwamuzi wa katiba iwepo au la?
 
Aisee huyu mzee niliwahi kufanya nae kazi kweli anadharau sana...!

Ni mtu wa amri, ukali na sio friendly kabisa kabisa. He is typical Mkurya na ana tabia ya kujivuna sana kwa kuona wengine hawaweza kazi kabisa...! Lets wait and see him, this is just the beginning of his weird answers...!

Una maana gani hapa na wewe kama sio kutukana kwa ku gerenalise watu??
What is a "typical mkurya" ???
 
Back
Top Bottom