Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,040
- 2,009
Habari zenu watanzania,mwanangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu.Tatizo lake hataki kula chochote tofauti na kunyonya tu.
Nilishanunua dawa za minyoo katumia mpaka basi,nikanunua vitamni B complex labda atapata hamu ya kula wapi, najitahidi kumbadilishia vyakula yofauti.
Anachokunywa ni maziwa kwani nimemuekea bili na kunyonya tu.Mm nataka angalau ale chakula lakini ndoo ukimpa ni kilio na anavitema kabisaaa hataki kabisaa.
Sasa nisaidieni mawazo ndugu zanguni make hapa JF ni uwanja mpana sana.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Nilishanunua dawa za minyoo katumia mpaka basi,nikanunua vitamni B complex labda atapata hamu ya kula wapi, najitahidi kumbadilishia vyakula yofauti.
Anachokunywa ni maziwa kwani nimemuekea bili na kunyonya tu.Mm nataka angalau ale chakula lakini ndoo ukimpa ni kilio na anavitema kabisaaa hataki kabisaa.
Sasa nisaidieni mawazo ndugu zanguni make hapa JF ni uwanja mpana sana.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
