Pretty bad advice.
Sio vizuri kumpa mtoto uji chini ya miezi sita.
Ntakasi hongera mwaya.
Ratiba yako ya kumnyonyesha ikoje?
Maziwa huwa yanajaa mpaka yanamwagika?
Kama huwa unampangia muda wa kunyonya (labda kila baada ya lisaa) usimpangie. Mnyonyeshe kila wakati ili maziwa nayo yaendelee kutengenezwa mwilini. Kama mama yako yupo kukusaidia that means unapata muda wa kutosha kupumzika. Utumie muda huo kukaa karibu na hako ka malaika, kakitaka nyonyo hata mara mia kwa siku we mpe.
Mwenyewe jitahidi kula vizuri mchanganyiko wa vyakula vyote na matunda. Usiishie kula vimiminika tu (uji/mtori/supu), hata kaugali/kawali laini na mboga nzuri ya majani+mchuzi ni nzuri sana. Utajisikia kushiba na maziwa mtoto atakayopata yatakuwa yanashika tumbo.
Dadaa jitahidi,supu,mitori,ulezi sana......baada ya wiki 2/3 atakaa sawa,tena ushukuru km ana demand san,wangu wiki ya kwanza alikuwa hataki maziwa wala nini...full vingora acha tu!nilikonda mpk baba...ila kuna mwana bodi kakushauri jaribu kina mama watu wazima wanajua mambo mengi sana na yenye faida,uzungu uzungu wetu usitufanya tusahau we are Africans!
Pole kwa changamoto hiyo. Mimi nakushauri pamoja na juhudi zoote za kula vizuri,pia ongeza FREQUENCY na DURATION ya kumnyonyesha mwanao. Kwa sasa wewe ni mzazi,kazi yako ni kula na kunyonyesha. One single round isipungue 25minutes ataashiba tu,maana ukimtoa mapema anakuwa amepata yale wanaita FORE MILK ambayo hayana FAT. Nyonyesha hadi akamue HIND milk ambayo ni nzito na inaleta shibe. Kulea ni kazi mama. All da best.
Kama.mtoto mwanaume mara nyingi huwa wananyonya sana ingawa wapo na wakike pia hunyonya sana.
Kunywa uji wa mtama, asali na uwatu, pweza kwa wingi hasa supu yake au kamba pia wanafanyisha maziwa sana.
Hayo mapili pili manga usiyashiriki sana sio mazuri yasije yakakuletea madhara ya tumbo baadae
Mama jitahidi kula tu mie pia nanyonyesha binti yangu 1 month old sana nakula uji wa oats naweka na uwatu,supu ya pweza,ya kuku,kunywa maji mengi glasi 8-10 pumzika vizuri pia usijipe stress kuwa na wahka pia inapunguza uzalishaji wa maziwa...
Enjoy mama kunyonyesha raha sana jinsi unavyokuwa karibu zaidi na mtoto wako na yeye huongeza mapenzi zaidi
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
How wonderful!!.....Ahsante Sana Kwa Kunitia Moyo Na Ushauri Mzuri.
BTW,Nina Binti Pia!
Halafu ngoja nikuambie kitu @Ntakasi. How you hold your breast matters. Isije kuwa mtoto ananyonya hewa tu.The image below shows you how the breast should be held while breast feeding
.View attachment 150613
Usiweke kidole juu ya nipple asi if nipple iwe katikati ya index na middle finger. Utakuwa unalimit flow ya maziwa na mtoto atanyonya hewa.
Water water and more water.
You don't have to take gulps, just stay hydrated and drink more.
Soups too, milk, I wouldn't advise teas. I cut back on caffeine from pregnancy mpaka mtoto alipofika 6 months.
Hata ule nini but without fluids basically water you won't make milk.
Halafu ngoja nikuambia mwili wako hauwezi kulemewa na kumlisha mtoto umembeba for 40 weeks. Keep pumping to produce more milk.
Do you have an idea what am talking about?
Halafu ngoja nikuambie kitu @Ntakasi. How you hold your breast matters. Isije kuwa mtoto ananyonya hewa tu.The image below shows you how the breast should be held while breast feeding
.View attachment 150613
Usiweke kidole juu ya nipple asi if nipple iwe katikati ya index na middle finger. Utakuwa unalimit flow ya maziwa na mtoto atanyonya hewa.
Make sure mtoto ananyonya ziwa moja for not less than ten minutes. This is because mother's milk constitutes of two parts.
Maziwa yanayotoka mwanzo pale unapo breast feed ni maji mostly kwa ajili ya ku quench kiu cha mtoto. Yanayofuata ni mainly fats kwa ajili ya kurutubisha mwili so make sure the baby suckles long enough on one breast. Burp him- atoe hewa then akiwa bado anataka kunyonya move him/ her to the next breast.
Umenikumbusha mbali aisee.
Na mvua hizi ngoja nitage ka second born fasta. lol
Mpe kiloba cha konyagi