Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 489
- 1,271
- Thread starter
- #21
Aisee inasikitisha sanaKapigwa ukuni mpaka kakolea kaona achole tattoo kumuenzi mwenye ukuni
Aisee inasikitisha sanaKapigwa ukuni mpaka kakolea kaona achole tattoo kumuenzi mwenye ukuni
Tena kabisa ana Pini mbili kwa kila sikioKuna mahusiano ya Karibu sana kati ya;
1. Rastaman na Uvutaji bangi.
2. Wachorwa Tatoo na kubwia sembe.
3. Vipini vingi mwilini(matobo 4 kila sikio,kitovuni, puani,ulimi na ukeni) hawa wana undugu na ukahaba.
Nashauri sana mfanyieni vipimo Vya kubaini matumizi ya Dawa za kulevya
Dah sawaOoook..!
Mkimpata "J" utufahamishe baba mdogo,sawa?
Kajala kachora michata ya wanaume kibao na akiachika leo, kesho anaolewa tena.Huyu ni mtoto wa kaka angu ambaye pia ni mchungaji wa kanisa,binti alikuwa mstaarabu sana alipokuwa sekondari, mwaka Jana alijiunga na chuo cha Mistu kilichopo Arusha
Juzi akiwa nyumbani usiku wamelala na mdogo wake wa kike alivua nguo mdogo wake akaona amejichora tatoo juu ya titi la kushoto na mdogo wake akamwambia mama na mama akamwambia baba ikaleta tafrani kwenye familia
Jana usiku wadogo mtu tumeitwa kumhoji binti, binti hakusema chochote akabaki tu anabubujikwa na machozi na badala yake tumempa kazi mama yake amhoji kwa nini amefikia hatua ya kujichora tatoo kifuani yenye maandishi(I love you J)
Mabinti zetu vyuoni mnaenda kusoma au kufanya mambo ya ajabu ajabu ambayo yatawagharimu mbeleni
Jiulize asipoolewa na huyo J,siku anapata mchumba mwingne akamkuta na hayo machata kuna ndoa hapo kweli? Tena mtoto wa mchungaji aliyelelewa kwenye maadili
Kuna haja ya kutoa elimu ya kutosha kwa vijana wetu waendapo vyuo, vinginevyo tutavuna mabua
P2 ni dawa UKIMWI?P2 au?
Binti yetu inaonekana msiri sana na huenda bwana mdogo "J" mkweo, amemuoa siku nyingi tu huko chuo, anapika, anapakua na kupakuliwa .Dah sawa
Nilikua sijui anazungumzia dawa ya nini, nikaguess ili anipe jibu sahihi!P2 ni dawa UKIMWI?
Day mn
Asipoolewa na J anaenda kumalizia "i love you Jesus"...easyJiulize asipoolewa na huyo J,siku anapata mchumba mwingne akamkuta na hayo machata kuna ndoa hapo kweli? Tena mtoto wa mchungaji aliyelelewa kwenye maadili
Ndo maana anaolewa kila mara, mwanamke anapaswa aolewe mara mojaKajala kachora michata ya wanaume kibao na akiachika leo, kesho anaolewa tena.
Kama vipi, kuliko kusimanga simanga, nipasieni hilo toto la mchungaji, nihangaike nalo
Sheri ipi inasema hivyo?Ndo maana anaolewa kila mara, mwanamke anapaswa aolewe mara moja
KimaadiliSheri ipi inasema hivyo?
Hataki kuongea na mimi tumempa kazi mama yakeKama mzazi ongea nae mwambie hupendi