ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,141
- 950
Katika gazeti la leo tarehe 12.02.2013 issue Na.4614 Mhariri wa Michezo wa Gazeti la Mwananchi /Mchapisha amejihirisha kukosa umakini kwa kurudia habari hiyo hiyo moja ikiwa na vichwa vya habari na waandishi tofauti.
Katika habari ya kwanza iliyoandikwa na Vicky Kimaro inasomeka " Madeni yaziabisha Simba, Yanga" hii hailelezi lolote kuhusu madeni lakini ya pili imeandikwa na Michael Momburi na Doris Maliyaga inasoma "Wapinzani Simba wajifua kwa Siri" nayo inafanana na ya juu ikielezea rai ya kocha wa Simba Patrick Liewig kuomba sapoti kubwa ya mashabiki kuhusu kufungwa fungwa na sare mfululizo za timu hiyo. Inaonekana labda hakuna uhariri unaofanyika na hivi vyombo vya habari.
Katika habari ya kwanza iliyoandikwa na Vicky Kimaro inasomeka " Madeni yaziabisha Simba, Yanga" hii hailelezi lolote kuhusu madeni lakini ya pili imeandikwa na Michael Momburi na Doris Maliyaga inasoma "Wapinzani Simba wajifua kwa Siri" nayo inafanana na ya juu ikielezea rai ya kocha wa Simba Patrick Liewig kuomba sapoti kubwa ya mashabiki kuhusu kufungwa fungwa na sare mfululizo za timu hiyo. Inaonekana labda hakuna uhariri unaofanyika na hivi vyombo vya habari.