Mwanamume bila mwanamke hawezi ishi 1 x 1 = 2

Mwanamume bila mwanamke hawezi ishi 1 x 1 = 2

Ukwaju

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
13,384
Reaction score
11,281
Ni kituko 1947 Meli moja ilizama na jamaa kutahamaki yupo lisiwani peke yake na upanga tu. alichoamua ni kukata miti ili atengeneze chetezo/ngalawa aendelee na safari ili arudi bara. Hamadi alipotokeza mwanamke haijulikani kune nae alikuwa na boya alilojiokoa nalo.
Jamaa mawazo yakabadilika bora atengeneze, kitanda waishi pamoja kisiwani mawazo ya kurudi kwao yameisha kabisa
 

Attachments

Back
Top Bottom